Baadhi ya Maduka yamefungwa Songea Mjini

Baadhi ya Maduka yamefungwa Songea Mjini

D2050

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
1,958
Reaction score
1,190
Maduka ya Mjini Songea yamefungwa leo, bado sijajua sababu ni ipi iliyopelekea wao kuyafunga haya maduka.

Kuna tetesi kuwa wanamuunga mkono ndugu LOWASSA.

Mwenye ukweli zaidi atujuze au ule mgomo wao na Minja ndio muendelezo?


maduka yanafunguliwa saizi mjini songea baada ya kikao cha wafanyabiashara na maafisa tra kuisha bila muafaka.
 
Maduka ya Mjini Songea yamefungwa leo, bado sijajua sababu ni ipi iliyopelekea wao kuyafunga haya maduka.

Kuna tetesi kuwa wanamuunga mkono ndugu LOWASSA.

Mwenye ukweli zaidi atujuze au ule mgomo wao na Minja ndio muendelezo?

Jaribu kufatilia utupe update zaidi lini anakuja lowasa huko.
 
Maduka ya Mjini Songea yamefungwa leo, bado sijajua sababu ni ipi iliyopelekea wao kuyafunga haya maduka.

Kuna tetesi kuwa wanamuunga mkono ndugu LOWASSA.

Mwenye ukweli zaidi atujuze au ule mgomo wao na Minja ndio muendelezo?

Usiandike kitu bila uthibitisho, wafanyabiashara wapo kwenye mkutano na makamishna wa tra toka makao makuu dsm kuhusu utumiaji wa efd's
 
Usiandike kitu bila uthibitisho, wafanyabiashara wapo kwenye mkutano na makamishna wa tra toka makao makuu dsm kuhusu utumiaji wa efd's

Tunashukuru kwa taarifa japo mtoa hoja sijaona kosa lake kuleta hii habari hapa jamvini.
 
Siku izi hata wa kwenye jukwaa la malavidavi nao wanafuatilia siasa! Safi sana. Lowassa chaguo la wengi
Tunafatiliaga sana tu ila hatuna bla bla za kisiasa, kama mheshimiwa eddo yani teh
 
Maduka ya Mjini Songea yamefungwa leo, bado sijajua sababu ni ipi iliyopelekea wao kuyafunga haya maduka.

Kuna tetesi kuwa wanamuunga mkono ndugu LOWASSA.

Mwenye ukweli zaidi atujuze au ule mgomo wao na Minja ndio muendelezo?

Mbona jana Magufuli alijaza watu wengi siyo ishara ya watu bombili kumkubali huju jamaa???
 
Usiandike kitu bila uthibitisho, wafanyabiashara wapo kwenye mkutano na makamishna wa tra toka makao makuu dsm kuhusu utumiaji wa efd's

Kwani sheria haijaanza kazi?
 
Usiandike kitu bila uthibitisho, wafanyabiashara wapo kwenye mkutano na makamishna wa tra toka makao makuu dsm kuhusu utumiaji wa efd's

baada yakuhoji nini kinaendelea nimepata uhakika kuwa nikweli sababu ya kufunga kwao maduka ni kuhudhuria kikao chao na tra.
 
Mbona jana Magufuli alijaza watu wengi siyo ishara ya watu bombili kumkubali huju jamaa???

nikweli mkuu wafanyabiashara wapo kwenye kikao.magufuli jana kaiteka songea na leo lowassa yupo songea
 
Update :kikao cha jumuia ya wafanyabiashara na tra kimevunjika baada ya kutokuelewana juu utumiaji wa mashine hizo, tra wanasusitiza ziendelee kutumika bila marekebisho wakati wafanyabiashara hawataki. Hivyo tutegemee migomo mikubwa zaidi huko mbele
 
nikweli mkuu wafanyabiashara wapo kwenye kikao.magufuli jana kaiteka songea na leo lowassa yupo songea
masela wanaita "dama dama"

Niliwaambia kuwa magufuli katangulizwa anatumia baiskeli ya mbao!!! naona sasa anapumuliwa shingoni.
 
Back
Top Bottom