Baadhi ya Maduka yamefungwa Songea Mjini

Baadhi ya Maduka yamefungwa Songea Mjini

masela wanaita "dama dama"

Niliwaambia kuwa magufuli katangulizwa anatumia baiskeli ya mbao!!! naona sasa anapumuliwa shingoni.
Waliosema lowasa hawezi kutoka nje ya dsm wapo?
 
Ikiwezekana Lowassa anastaili ashtakiwe kwa sa/bu alisababisha shughuli uzalishaji kusimama siku nzima! Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wanaimani kubwa na Rais Lowassa! Hao wapanda ndege na wanyama (twiga) watanyooka tu!
 
Lowasa na Ukawa ndio tumaini pekee lililobaki kwa Watanzania. Mungu amlinde mja wake.
 
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Kama hutaki kasage chupa, changanya na maji kisha kunywa, ni dawa!!

Watanzania Tumeamua Rais Wetu Ni Lowasa Ushakunaku Baki Nao Wewe
 
Mambo yote ni kwa Lowassa usikubali kupitwa wala kuacha kupiga kura kwake na wabunge , madiwani wa UKAWA

Naam, Hayo Ndo Maneno, Wakati Wa Mabadiriko Ni Huu.. Ukawa Nafasi Zote, Diwani, Mbunge, Rais..
 
Back
Top Bottom