kilikiliani
Member
- Apr 18, 2012
- 23
- 3
hajaenda Marekani kuomba mipira ya Basketball
Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
ungemuua?? hata ukimuua bado linapikuja wimbi la mabadiliko hakuna wa kuweza kuzuia! wakati wa ukoloni viongozi wa ukombozi wengi waliuawa lakini mapambano yaliendelea uhuru ukapatikana, hapo south unajua mtu anaitwa Solomon Mahlangu?? fuatilia historia yake? Gadaffi aliua wangapi yuko wapi leo? ukimtia mnyika adabu huwezi pia kuzitia fikra na maono yake adabu hayo yataishi milele hata kama yeye hayupo!JK ndiye wa kufundishwa adabu kwa kuachia taifa linaendeshwa kiholela kama mbuzi wasio na mchungaji!!Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
ana siku 4 jk ni mgonjwa!!
Aise hawezi kuacha ambulance make ni Dhaifu Mwili na Akili pia!!Umenikumbusha hii JK aanguka,J.kikwete fall down while giving a speech - YouTubeambulance ako nayo?
Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
Ni jambo la heri kama kweli Raisi amesikia mawazo ya mnyika japokuwa alitolewa nje ya ukumbi, akatafakari, akaenda dodoma kwa mazungumzo na safu yake ya uongozi. Big up JK wapatie surprise wale wote waliosababisha ukadharaulika mbele ya wananchi wako. nafahaamu na ulishasema huna ubia na mtu kwenye urais wako patia wao extra drill mapaka watambue simba ni simba tuu.
JK apate wapi jeuri hiyo?
Ukishakua dhaifu ni dhaifu tu
Hivo kwa udhifu wake hawezi kumfanya lolote kamanda JJM!
Ningelikuwa JK, ningelimfundisha adabu mnyika!
Mkuu rais wako ni mdhaifu, hana ubavu wa kumfundisha kamanda adhabu.
Nawewe ni mpuuzi tu!