Baada ya Zanzibar kuahidiwa Meli nne za Uvuvi, kwanini pia wasipewe ndege?

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,946
3,820
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi ,nne zitabaki Tanganyika na Ne zitapelekwa Zanzibar ,nazani watapewa shirika la meli la Zanzibar,sasa vipi kuhusu ndege ?
Tiyari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao ? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
Meli za uvuvi ni Tofauti na Ndege.

Ndege ni international Trade, ipo chini ya Muungano.
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga, kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
Mnapenda vya kupewa stupid, undugu kwenye kutumbua tu
Kwenye kugharamia undugu haupo
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege ? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao ? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
Dreamliner moja ni zaidi ya Bilioni 500

Zote mbili ni zaidi ya Tilioni 1, Je Zanzibar imechanga shilingapi hadi ipewe mgao?

Bado zile Airbus mbili na Bombaried Dash 8 Q 400
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege ? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao ? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
... unalinganisha majahazi ya uvuvi na ndege? Kuwa serious Chief. By the way, hivi Zanzibar wana shirika la ndege?
 
Dreamliner moja ni zaidi ya Bilioni 500

Zote mbili ni Tilioni 1, Je Zanzibar imechanga shilingapi hadi ipewe mgao?

Bado zile Airbus mbili na Bombaried Dash 8 Q 400
...
Unguja. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa amesema mwaka wa fedha 2019/20, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imekadiria mapato na matumizi ya Sh 1.4 trilioni.

Bajeti hiyo ni sawa na ongezeko la asilimia 7.9 ya makadirio ya Sh1.3 trilioni ya mwaka jana.

Balozi Ramia alitoa kauli hiyo jana katika mkutano wa Baraza la Wawakilishi wakati akiwasilisha hotuba kuu ya bajeti ya Serikali ya Zanzibar kwa mwaka 2019/2020.

Source: Bajeti ya Zanzibar yalenga kukuza uchumi wa nchi – Swahilihub
 
Tutawanunulia vingapi? Tuwanunulie meli, bado tuwanunulie na ndege! Kwani mapato yao wanafanyia nini? Wataifikia Dubai kweli iwapo kila kitu mpaka wafanyiwe na Tanganyika?
Wajaziwe meli kibao ili wawe busy baharini huko. Watasahau hata siasa. Idle mind is the workshop of the devil
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
Sasa itabidi tufanye Zanzibar mkoa wa Tanzania bara ndio mufaidi hizi raslimali na kodi zetu,pia muanze kufanya kazi badala ya kutwa kukaa maskani mukinywa kahawa na kula halua.
 
Tumesikia nikiwa najiandaa kupanda mkarafuu nikadondoe dondoe nasikia kutoka redio iliyokuwa nakaribia kuifunga ,kuwa Eti Raisi wa JMT amesema Tanzania itanunua meli nane za uvuvi, nne zitabaki Tanganyika na nne zitapelekwa Zanzibar, nadhani watapewa shirika la meli la Zanzibar.

Sasa vipi kuhusu ndege? Tayari zimenunuliwa nyingi mbona hamjawapa Zanzibar fungu lao? Sisi ni ndugu na tunapendana kutoka dhati ya moyo.
Wapewe na nani wakati wao ni serikali kamili? Nilidhani uwashauri kuweka vipaumbele kwenye maeneo ya uzalishaji pale wanapopata fedha, ukisema kupewa inaleta taswira ya utegemezi
 
Back
Top Bottom