Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
mbaya sana kutaka kumshindanisha mtoto wa kiume na wa kike!!!!!kushindana na binti kama wema kimafanikio ni kushindana na wafanyabiashara wa kiarabu na baadhi yaviongozi wa serikali indirectly!........platinumz hashindani na wema ila watu wanapamba!hawa watu wanapendana na haya mambo yote wema anayafanya kwa kupanic halafu mnyamwezi Almasi hana habari!