Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu,Kwanza naomba nimpongeze mh rais Dr JPM kwa kuweka masikio pamba na kutosikia lolote zaid ya vita dhidi ya rushwa na ukombozi wa rasilimali zetu ili zitumike kunufaisha majority na sio minority na kuleta mapinduzi ya kweli ya viwanda.
Rais ameingia vita inayogusa maslai ya watu wengi sana kama unavyojua wapiga dili waliota mizizi na kufika hatua ya kuabudiwa hivyo kitendo cha rais kugusq direct maslai yao kumeibua vita kubwa ya kumchafua mh Rais na sasa wapiga dili wanajifanya ni watetezi wa wanyonge na waumini wakubwa wa utawala wa sheria ili kupata huruma za wananchi.
Mfano ulio hai kwa waziri jangili leo anajifanya ana uchungu na katiba mpya.Hivi kweli mtu mwenye uchungu na nchii hii unaweza kusafirisha twiga,mtu mwenye uchungu na nchii hii ulijigaia vitalu vya uwindaji.Mtu kwel mwenye mapenzi na unaweza kusafirisha meno ya tembo?
Kuna mwingine eti anauliza ndege zinanufaisha vipi watu wa kijijini hii inanipa mashaka na elimu yake anajitoa akili na kujishushia thamani eti kisa katoshwa kwenye uwaziri.Hajui kwa kutumia biashara ya ndege nchi itaongeza pato la taifa pesa hiyo hiyo itajenga mabarabara maendeleo ya kweli ni process ya muda mrefu
watanzania hatuitaji kujua eti flani ni hafati sheria ya utawala bora watanzania hatutaki katiba mpya watanzania tunahitaji kiongozi aliyejitoa kwa ajili ya wananchi kama magufuli.Bado tuna imani kubwa na rais wetu hivyo wanafiki mnaoendeleza siasa za uchochezi ili maovu yenu yasitajwe dawa yenu inachemka ipo siku watanzania tutawajua nyie ni watu wa aina gani
Rais ameingia vita inayogusa maslai ya watu wengi sana kama unavyojua wapiga dili waliota mizizi na kufika hatua ya kuabudiwa hivyo kitendo cha rais kugusq direct maslai yao kumeibua vita kubwa ya kumchafua mh Rais na sasa wapiga dili wanajifanya ni watetezi wa wanyonge na waumini wakubwa wa utawala wa sheria ili kupata huruma za wananchi.
Mfano ulio hai kwa waziri jangili leo anajifanya ana uchungu na katiba mpya.Hivi kweli mtu mwenye uchungu na nchii hii unaweza kusafirisha twiga,mtu mwenye uchungu na nchii hii ulijigaia vitalu vya uwindaji.Mtu kwel mwenye mapenzi na unaweza kusafirisha meno ya tembo?
Kuna mwingine eti anauliza ndege zinanufaisha vipi watu wa kijijini hii inanipa mashaka na elimu yake anajitoa akili na kujishushia thamani eti kisa katoshwa kwenye uwaziri.Hajui kwa kutumia biashara ya ndege nchi itaongeza pato la taifa pesa hiyo hiyo itajenga mabarabara maendeleo ya kweli ni process ya muda mrefu
watanzania hatuitaji kujua eti flani ni hafati sheria ya utawala bora watanzania hatutaki katiba mpya watanzania tunahitaji kiongozi aliyejitoa kwa ajili ya wananchi kama magufuli.Bado tuna imani kubwa na rais wetu hivyo wanafiki mnaoendeleza siasa za uchochezi ili maovu yenu yasitajwe dawa yenu inachemka ipo siku watanzania tutawajua nyie ni watu wa aina gani