Baada ya Uteuzi wa Dkt. Biteko kuwa Naibu Waziri mkuu Kanda ya Ziwa yazizima Mikutano ya Chadema yaanza kupotezewa!

Kama unadhani ni jambo kubwa ndugu Biteko kuwa 'naibu waziri mkuu'jipige kifua mara tatu kisha ujiambie "mimi ni zwazwa".Unatwishwa zigo la mavi(nishati)halafu unapewa kitambaa chenye manukato(naibu waziri mkubwa)ujifutie jasho wakati bado zigo lipo kichwani,kisha ushangilie!?Hautakuwa sawa kichwani.Ndg Kalemani alijitahidi kuirekebisha wizara mkamleta kilaza upara eti imeharibiwa,kavuruga mambo kelele kila kona.Hakuna la maana huyu mama amefanya zaidi ya kuimarisha timu ya walaji akina Jery.Kama hutaelewa sasa muda utakukumbusha
 
Ikumbukwe Viongozi Wakuu wa Chadema wako kanda ya Serengeti kwa ajili ya Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu

Inasemekana baada ya Dkt. Dotto Biteko kutangazwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri mkuu Mikutano ya Chadema umeanza kudoda

Hata hapa JF leo Habari za Serengeti zimekuja kwa uchache sana na Elythrocyte amekimbilia Kyela kuungana na akina Mwabukusi na Mdude

Mlale Unono!
Sikujua Ukubwa wa Ujinga wako sasa naaza kuujua kwani Wananchi wa Kanda ya Ziwa shida zao ni CHEO KISICHO kwenye Katiba cha Unaibu WAZIRI Mkuu?
 
Back
Top Bottom