Kulikuwa na uwongo mwingi wakati wa awamu ya 5 kuhusiana na Sekta ya Madini.
Kulikuwa na uwongo mwingi juu ya kuongezeka kwa mapato kwenye sekta ya madini eti kutokana na juhudi za marehemu.
Tanzania imeshuka kwenye uzalishaji madini ya dhahabu kutoka nafasi ya 3 Afrika mpaka ya 6. Mapato yaliyoongezeka kwenye mauzo ya dhahabu yalitokana na ongezeko kubwa la bei ya dhahabu kwenye sekta ya madini, na siyo kile kinachoelezwa eti ni kutokana na juhudi za marehemu.
Marehemu aliiharibu sekta ya madini mpaka kuifanya Tanzania kuwa nchi mbaya ya kwanza Duniani katika uwekezaji kwenye sekta ya madini. Wawekezaji karibia wote waliondoka au kufunga shughuli zao Tanzania. Barrick walibakia kwa kubembelezwa sana na kwa kupewa upendeleo mwingi.
Leo Serikali inahaha kuwarudisha wawekezaji kwenye sekta ya madini:
Tanzania plans to introduce tax intensives to attract investment in mining
WORLD
Saturday, 30 Apr 2022
12:25 AM MYT
DAR ES SALAAM, April 29 (Xinhua) -- Tanzania plans to introduce tax incentives to attract more investment in the mining sector, Minerals Minister Doto Biteko said on Friday.
Measures to introduce tax incentives will be introduced against the backdrop of rising demand for rare minerals in the technology industry, the minister told lawmakers in the capital, Dodoma, when he tabled his ministry's budget proposals for the 2022/2023 financial year, which begins on July 1.
Biteko said development in technology has led to increased demand for various minerals, including graphite, cobalt and nickel.
In 2021, the mining sector contributed to 45.9 percent of Tanzania's total export value, the minister said.
Kulikuwa na uwongo mwingi juu ya kuongezeka kwa mapato kwenye sekta ya madini eti kutokana na juhudi za marehemu.
Tanzania imeshuka kwenye uzalishaji madini ya dhahabu kutoka nafasi ya 3 Afrika mpaka ya 6. Mapato yaliyoongezeka kwenye mauzo ya dhahabu yalitokana na ongezeko kubwa la bei ya dhahabu kwenye sekta ya madini, na siyo kile kinachoelezwa eti ni kutokana na juhudi za marehemu.
Marehemu aliiharibu sekta ya madini mpaka kuifanya Tanzania kuwa nchi mbaya ya kwanza Duniani katika uwekezaji kwenye sekta ya madini. Wawekezaji karibia wote waliondoka au kufunga shughuli zao Tanzania. Barrick walibakia kwa kubembelezwa sana na kwa kupewa upendeleo mwingi.
Leo Serikali inahaha kuwarudisha wawekezaji kwenye sekta ya madini:
Tanzania plans to introduce tax intensives to attract investment in mining
DAR ES SALAAM, April 29 (Xinhua) -- Tanzania plans to introduce tax incentives to attract more investment in the mining sector, Minerals Minister Doto Biteko said on Friday.
www.thestar.com.my
Tanzania plans to introduce tax intensives to attract investment in mining
WORLD
Saturday, 30 Apr 2022
12:25 AM MYT
DAR ES SALAAM, April 29 (Xinhua) -- Tanzania plans to introduce tax incentives to attract more investment in the mining sector, Minerals Minister Doto Biteko said on Friday.
Measures to introduce tax incentives will be introduced against the backdrop of rising demand for rare minerals in the technology industry, the minister told lawmakers in the capital, Dodoma, when he tabled his ministry's budget proposals for the 2022/2023 financial year, which begins on July 1.
Biteko said development in technology has led to increased demand for various minerals, including graphite, cobalt and nickel.
In 2021, the mining sector contributed to 45.9 percent of Tanzania's total export value, the minister said.