The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Akitoa taarifa ya Makusanyo na matumizi kwa Halmashauri kwa kipindi cha nusu mwaka(July- December 2021/2022,Waziri wa Tamisemi Innocent Bashungwa amesema Halmashauri zimevuka malengo ya Makusanyo Kwa kukusanya sh.Bilioni 470 sawa na asilimia 107% ya lengo.
Aidha Makusanyo yameongezeka kwa bil.80 zaidi ukilinganishwa na makusanyo ya mwaka 2020..
My take..
Samia anazidi kuupiga mwingi, hongera Sana. Tunaomba usimamizi wa matumizi ya pesa uendane na thamani ya halisi ya miradi inayotekelezwa.
Akitoa taarifa ya Makusanyo na matumizi kwa Halmashauri kwa kipindi cha nusu mwaka(July- December 2021/2022,Waziri wa Tamisemi Innocent Bashungwa amesema Halmashauri zimevuka malengo ya Makusanyo Kwa kukusanya sh.Bilioni 470 sawa na asilimia 107% ya lengo.
Aidha Makusanyo yameongezeka kwa bil.80 zaidi ukilinganishwa na makusanyo ya mwaka 2020..
My take..
Samia anazidi kuupiga mwingi, hongera Sana. Tunaomba usimamizi wa matumizi ya pesa uendane na thamani ya halisi ya miradi inayotekelezwa.