Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,137
Nawasalimu kwa jina la JMT, natumai Kazi zinaendelea.

Mkoa wa Mbeya umevunja rekodi ya Makusanyo yake ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri zake 7 Kwa kukusanya bil.45 sawa na zaidi ya asilimia 105.6% ya malengo.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa was Mbeya Juma Homela kwa Waandishi wa Habari na kuzipongeza Halmashauri za Mkoa huo pamoja na Sektetatieti ya Mkoa ikiongizwa na RAS wa Mbeya.

Kila Halmashauri imevuka malengo waliyopangiwa na Serikali hivyo kuziwezesha kutoa huduma na kutekelezwa Kwa miradi iliyopangwa kwa asilimia 100.

My Take:
Hii ndio maana Halisi Sasa ya Kufungua Nchi na Sasa matunda yanaonekana baada ya biashara mpya kuzidi kufunguliwa.

Hongera sana kwa serikali ya Rais Samia.👇

Screenshot_20220719-051157.png
Screenshot_20220719-051338.png
 
Ni jambo zuri sasa ni wakati wakutengeneza barabara za mitaa za jiji maana zinahali mbaya sana, siyo mbaya wakienda kujufunza jiji la Mwanza. Mwanza pamoja na kuwa na changamoto za miamba ila barabara za mitaa kwa kiasi fulani wamejitahidi kuzijenga.
Shida ya Mbeya ni udongo wao ule hauko compatible kabisa na teknolojia ya barabara inayotumika sasa.

Yaani ukijenga tuu haichukui round lazima iharibike.
 
Hongera sana, ila waboreshe mji, maana wana mji ambao hauna miundo mbinu. Barabara moja tu ya kupitisha malori ya kwenda Zambia, daladala za Uyole - soko matola, bajaji, bodaboda. Yaani ni shidaa.

Waende Arusha na Mwanza wakajifunze. Mitaa ya Mwanza ina barabara bora sana.
 
Japo kuwa Mbeya tunatengwa sana na serikali lakini tumekubali kujiendesha wenyewe na watakoma.

Haiwezekani eti Mbeya nzima hakuna fly over pale Mafiat na Uyole (hayo maeneo ni lazima fly over ziwepo mpaka mbalizi kule wajenge fly over).

Eti leo hii dodoma ni kuzuri kuliko Mbeya si ni matusi haya?

Kwa asilimia kubwa majengo yote makubwa unayoyaona Mbeya tumeyajenga raia wenyewe bila mkono wa serikali(Ndiyo si wametutenga?)

Huku Tukuyu tukigoma kuleta ndizi, Maparachichi, Mchele sijui huko wanakuita mjini watashindia madafu au vipi..!!!

Huko kwenye mafly over hakika nawaambia watakusanya kodi kwenye hizo hizo fly over zao (Maana wanavyopita juu kule eti wanapiga na picha)

Tuna ziwa letu Matema Beach pale tunakula samaki wa kila aina "What else?"

Ganja tunavuta ya Mlima Rungwe na malawi hatuhitaji ya mikoani "What else?"

Na tuna mpango wa kuanzisha serikali yetu tusiingiliane na mkoa wowote ule tanzania maana kila kitu tunacho "What else?"

MBEYA CITY STAND UP.
 
Japo kuwa Mbeya tunatengwa sana na serikali lakini tumekubali kujiendesha wenyewe na watakoma.

Haiwezekani eti mbeya hakuna fly over pale mafuat na uyole (hayo maeneo ni lazima fly over ziwepo)

Kwa asilimua kuba majengo yote makubwa unayoyaona mbeya tumeyajenga raia wenyewe bila mkono wa serikali(Ndiyo si wametutenga?)

Huku tukuyu tukigoma kuleta ndizi huko kwenye mafly over hakina nawaambia watakusanya kodi kwenye hizo hizo fly over zao.

Na tuna mpango wa kuanzisha serikali yetu tusiingiliane na mkoa wowote ule tanzania maana kila kitu tunacho "What else?"

MBEYA CITY STAND UP.

Ni kweli mko imara sana, hata wanawake wenu ni wa shoka. 😃🤣😁
Ila hamjui lobbying, dunia imebadirika sana inabidi kwenda nayo.
 
Japo kuwa Mbeya tunatengwa sana na serikali lakini tumekubali kujiendesha wenyewe na watakoma.

Haiwezekani eti Mbeya nzima hakuna fly over pale Mafiat na Uyole (hayo maeneo ni lazima fly over ziwepo mpaka mbalizi kule wajenge fly over).

Eti leo hii dodoma ni kuzuri kuliko Mbeya si ni matusi haya?

Kwa asilimia kubwa majengo yote makubwa unayoyaona Mbeya tumeyajenga raia wenyewe bila mkono wa serikali(Ndiyo si wametutenga?)

Huku Tukuyu tukigoma kuleta ndizi, Maparachichi, Mchele sijui huko wanakuita mjini watashindia madafu au vipi..!!!

Huko kwenye mafly over hakika nawaambia watakusanya kodi kwenye hizo hizo fly over zao (Maana wanavyopita juu kule eti wanapiga na picha)

Tuna ziwa letu Matema Beach pale tunakula samaki wa kila aina "What else?"

Ganja tunavuta ya Mlima Rungwe na malawi hatuhitaji ya mikoani "What else?"

Na tuna mpango wa kuanzisha serikali yetu tusiingiliane na mkoa wowote ule tanzania maana kila kitu tunacho "What else?"

MBEYA CITY STAND UP.
Kwa hiyo nyie mnataka kujitenga siyo

Muwe Malawi

Ova
 
Katiba mpya itasimamia vema ukusanyaji mapato NCHI nzima wala hakutakuwa na ukwepaji wa kodi tena wala juhudi Binafsi za mtu hazititajika tena na kufanya kazi ya kukusanya mapato kuwa ngumu kama ilivya sasa!!!

Wala hatutohitaji kuifungua nyuzi za ukusanyaji mapato jamvini coz data za kimfumo zitasoma zenyewe kiwango cha mapato ya kila mkoa,wilaya,tarafa,kata na hata Kijiji yataonekana kwenye database MOJA KWA MOJA kwenye mitandao ya kijamii kila mwezi na Mwaka na hizo data hazitokuwa za kutafuta tena kama sasa bali kila mwananchi atazipata MOJA KWA MOJA mtandaoni!!

MLETA MADA IMBA WIMBO HUU;-


"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya""!!
 
Japo kuwa Mbeya tunatengwa sana na serikali lakini tumekubali kujiendesha wenyewe na watakoma.

Haiwezekani eti Mbeya nzima hakuna fly over pale Mafiat na Uyole (hayo maeneo ni lazima fly over ziwepo mpaka mbalizi kule wajenge fly over).

Eti leo hii dodoma ni kuzuri kuliko Mbeya si ni matusi haya?

Kwa asilimia kubwa majengo yote makubwa unayoyaona Mbeya tumeyajenga raia wenyewe bila mkono wa serikali(Ndiyo si wametutenga?)

Huku Tukuyu tukigoma kuleta ndizi, Maparachichi, Mchele sijui huko wanakuita mjini watashindia madafu au vipi..!!!

Huko kwenye mafly over hakika nawaambia watakusanya kodi kwenye hizo hizo fly over zao (Maana wanavyopita juu kule eti wanapiga na picha)

Tuna ziwa letu Matema Beach pale tunakula samaki wa kila aina "What else?"

Ganja tunavuta ya Mlima Rungwe na malawi hatuhitaji ya mikoani "What else?"

Na tuna mpango wa kuanzisha serikali yetu tusiingiliane na mkoa wowote ule tanzania maana kila kitu tunacho "What else?"

MBEYA CITY STAND UP.
Tatizo umejifungia maporini hivyo vitu vinavyopatikana tukuyu vinapatikana Tanzania nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom