OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Kwa mahasimu wa Lowassa kwa habari zilizopo tu ni kwamba baada ya kupewa uchifu Tabora,asubuhi yaleo ameonekana Shinyanga Kahama.
Duru za kisiasa zinasema huku amekuja kwa kazi maalumu ya kupewa uongozi wa mila ya Kisukuma.
Kwa wale mahasimu wake jipangen tena,naona EL anazidi kutimua vumbi tu kila kukicha.
Kwa wana jamvi mliopo Shinyanga tunaomba mtupatie picha ya matukio mazima,ili kwa wale ambao hatuja udhuria sherehe hizo tuweze kuzipata kupitia jamvi.
Nawasilisha.
Duru za kisiasa zinasema huku amekuja kwa kazi maalumu ya kupewa uongozi wa mila ya Kisukuma.
Kwa wale mahasimu wake jipangen tena,naona EL anazidi kutimua vumbi tu kila kukicha.
Kwa wana jamvi mliopo Shinyanga tunaomba mtupatie picha ya matukio mazima,ili kwa wale ambao hatuja udhuria sherehe hizo tuweze kuzipata kupitia jamvi.
Nawasilisha.