Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Waandamanaji nchini Misri wanatarajia leo kufanya maandamano makubwa ya kumng'oa Rais Hosni Mubarak baada ya swala ya ijumaa. Maandamano hayo yaliopewa jina la siku ya kuondoka Mubarak kwa mujibu wa waandamanaji hao yatahakikisha Rais Mubarak (82) anaondoka madarakani leo ijumaa.Yetu macho Tanzania.