MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Hii ni QUOTE ya SUGU "Im just a boy from the streets, doing peoples job in the parliament..."
I like it
Hii ni QUOTE ya SUGU "Im just a boy from the streets, doing peoples job in the parliament..."
Tatizo vijana wa bavicha hamjui kinachoendelea. Chadema ilikataza TBC kurusha habari zake yenyewe.
Msiwe na kumbukumbu fupi vijana wa bavicha...
Tatizo vijana wa bavicha hamjui kinachoendelea. Chadema ilikataza TBC kurusha habari zake yenyewe.
Msiwe na kumbukumbu fupi vijana wa bavicha...
Ni kweli hata mimi jana niliona TBC 1,wakimrusha Dr Slaa,kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.Lakini hata jana tbc walirusha habari ya Dr. SLAA
I like it like a quote from Julia Roberts in one of her films she played: ' I am just a girl, standing in front of a boy, asking him to love her' or " I am jusdt an ordinary person who has an extraordinary job"Hii ni QUOTE ya SUGU "Im just a boy from the streets, doing peoples job in the parliament..."
Tatizo vijana wa bavicha hamjui kinachoendelea. Chadema ilikataza TBC kurusha habari zake yenyewe.
Msiwe na kumbukumbu fupi vijana wa bavicha...
Lakini hata jana tbc walirusha habari ya Dr. SLAA
nimeshanga sana leo kweli kweli
Tatizo vijana wa bavicha hamjui kinachoendelea. Chadema ilikataza TBC kurusha habari zake yenyewe.
Msiwe na kumbukumbu fupi vijana wa bavicha...
Buku Saba FC.
Bavicha ndiyo habari ya mujini. Uvccm mmechagua wazee na kuacha vijana wanaostahili, matokeo yake hakuna kinachoendelea huko.
Hii ni QUOTE ya SUGU "Im just a boy from the streets, doing peoples job in the parliament..."
kula tano mkuu.... yaani umepiga pale pale harudiiBuku Saba FC.
Bavicha ndiyo habari ya mujini. Uvccm mmechagua wazee na kuacha vijana wanaostahili, matokeo yake hakuna kinachoendelea huko.