Wana JF kwa kigezo cha hotuba ya Karume na matamko ya viongozi wengi na sasa kwa orodha ya majina ya secretariat mpya je unaona kama CCM wameondoka Kizota wakiwa wamoja au wamegawanyika, tafadhali toa maoni yako ambayo yanazingatia vigezo vya hoja. CCM pokeeni maoni haya kwani ni ya watu binafsi lakini kwa kuwa kila kura inahesabika ni bora mkayafanyia kazi. Nawie kazi kwako tafadhali