Baada ya ripoti ya Tume kutolewa nini kinafuata?

Baada ya ripoti ya Tume kutolewa nini kinafuata?

ICC hawawezi kutegemea ropoti ya chande kutafuta majibu yao, wale Commonwealth watarudi tena lakini ICC wanaweza kufika wenyewe na kuanza uchunguzi kama kuna jinai, lakini ukiisikia report ya Chande na ule ushahidi uliowasilishwa jinsi unavyokinzana, naamini ICC watafika maana report imeongeza mashakha ya uwajibikaji nchini, isipokuwq ICC huwa wanachelewa sana ata mwala 1 wanaweza kuwa kimya.
 
Kwa mnaojua Protocol, naomba kujua baada ya ripoti ya Tume kutolewa nini kinafuata?

ICC wanaanza uchunguzi wao lini?

Nisaidieni kujua wakuu angalau mnitoe tongotongo!
Hamna chochote, hizo ni blaah blaah tu.wote report zao zinawekwa kapuni tusubiri mwaka ujao.
 
Ushaambiwa kuna tume nyingine itaundwa kutokana na tifu hili, sasa hao ICC watakuja kufanya nini wakati uchunguzi wa mtifuano unaendelea? Kwa kuwa jinai huwa haiozi labda hao ICC watakujaga miaka ya mbeleni kama wataamua kuanzisha kesi. We jua imetoka hiyo, hakuna kesi hapo!
 
Ile kesi yenu mliyofungua ICC inaendeleaje?

Andamaneni tena muibe mali za watu na kuchoma moto muone kama kuna mtu atacheka na nyumbu
 

Attachments

  • Screenshot_20260424_100713_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20260424_100713_WhatsApp.jpg
    99.6 KB · Views: 19
Back
Top Bottom