Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Mimi ni mmoja kati ya watu tuliovutiwa sana na hotuba ya Raisi Magufuli aliyoitoa pale UDSM ambapo naweza kusema kwamba alitangaza blue print ya Serikali yake ya jinsi anavyotaka kuiboresha Elimu yetu, na kilichonivutia ni uamuzi wa kwamba Chuo Kikuu kibakie kwa wale waliofika kidato cha Sita na kufaulu tu na hawa wengine waende kwenye vyuo vyao stahiki vinavyotoa Diploma na hivi Vyuo tunavyo kama CBE, NIT, Dar tech, n.k!
Sasa kinachofatwa ilipaswa pia kuwe reforms kwenye ajira ili ajira ziendane na aina ya Elimu mtu anayopata kwa mfano haingii akilini Bank teller awe Shahada ya Chuo Kikuu wkt hiyo ni kazi ambayo inaweza kufanywa na mhitimu wa Diploma, au mtu anayekaa dirishani TRA ambaye ndiyo mtu wa kwanza anyekutana mteja awe na Shahada ya Chuo Kikuu kazi hiyo inaweza kufanywa na mtu wa Diploma tu, mtu anayewasha na kuzima mitambo Tanesco hahitaji awe na degree ya electrical engineering hiyo kazi inaweza kufanywa na mtu mwenye Diploma ya technical colleges zetu, n.k hii reform ni muhimu na pia hivi vyuo vyote ambavyo leo badala ya kutoa Diploma wamehamia kwenye Bachelors na Masters pia vilazimishwe na vibakie kutoa diploma tu na hapa naongelea Vyuo kama Dar tech, Mbeya tech, NIT, CBE n. ili kazi ya kutoa degree ibakie kwa Chuo kilichosajiliwa kama Chuo Kikuu tu na si vinginevyo!
Sasa kinachofatwa ilipaswa pia kuwe reforms kwenye ajira ili ajira ziendane na aina ya Elimu mtu anayopata kwa mfano haingii akilini Bank teller awe Shahada ya Chuo Kikuu wkt hiyo ni kazi ambayo inaweza kufanywa na mhitimu wa Diploma, au mtu anayekaa dirishani TRA ambaye ndiyo mtu wa kwanza anyekutana mteja awe na Shahada ya Chuo Kikuu kazi hiyo inaweza kufanywa na mtu wa Diploma tu, mtu anayewasha na kuzima mitambo Tanesco hahitaji awe na degree ya electrical engineering hiyo kazi inaweza kufanywa na mtu mwenye Diploma ya technical colleges zetu, n.k hii reform ni muhimu na pia hivi vyuo vyote ambavyo leo badala ya kutoa Diploma wamehamia kwenye Bachelors na Masters pia vilazimishwe na vibakie kutoa diploma tu na hapa naongelea Vyuo kama Dar tech, Mbeya tech, NIT, CBE n. ili kazi ya kutoa degree ibakie kwa Chuo kilichosajiliwa kama Chuo Kikuu tu na si vinginevyo!