Baada ya Rais Magufuli kutema cheche, RC Kunenge aenda Ubungo Shule ya Msingi King'ongo, apiga mkwara

Kokoto nondo mchanga zimepelekwa site naona ujenzi umeanza faster


Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Afu ukiwauliza mmefanya mchakato saa ngapi,kukutana na kamati za shule,kujadili..n.k

Lakini kama Rais asingesema ukiomba hela ya shule, watakavyo kuelezea michakato yake utachoka hata kabla hujaanza aisee!

Wanaudhi sana watu wa hizi Manispaa na Halmashauri. Wanajifanya kujua michakato kumbe upigaji tu. Wakuu wa shule hubanwa na mainjinia pindi hela zikitoka za ujenzi au ukarabati.

Mkuu wa shule akigangamala utasikia mainjinia wanakataa jengo kisha inakula kwa mkuu wa Shue.

Kuna changamoto kubwa sana kwenye Local Govement! Mungu atunusuru;

Vyombo vya usalama vimemfikishia mzee taarifa,akaizungumzia ndo wanakurupuka kujenga, Mhe. Akiwa anatumbua tumsamehe tu!
 
Wapinxani hawapo tena,mnatengeneza kiki,yaaani mnajitekenya wenyewe
 
Aende na shule ya Msingi Goba watoto wanakaa darasani ila chini kwenye mchanga.

Pia Shule ya Msingi Tegeta A nayo ipo kata ya Goba watoto wanasomea chini ya mti nje, yaani Kwa kweli jimbo la Ubungo maendeleo yapo nyuma sana sana.
Sera za jiwe ni za kipumbavu sana huwezi kuwatenga raia kisa wamechagua mbunge wa upinzani. Huo ni upumbavu! Lakini ukisimama majukwaani unawadanganya raia eti maendeleo hayana chama
 
..basi kulikuwa hakuna haja ya kujitapa kuwa Jpm anagawa mabilioni ya elimu bure kila mwezi wakati kuna wanafunzi hawana madawati, na shule hazina matundu ya choo ya kutosha.
Ona aibu sasa, Shule nyingi wanapata huduma bora zaidi kuliko wakati mwingine wowote kuanzia aipoingia Mwinyi madarakani. Huo ndio ukweli, kama unapinga weka data sio maneno matupu. Hatujaona maandamano ya wanafunzi tangu JMK alipoondoka, hiyo tu inaashiria mambo yamebadilika kuelekea kule ambako kila Mtanzania anatarajia.
 


Hapo tayari ana orodha ya kuwatimua anasubiri tu aingie site
 

..Ni aibu serikali kujitapa kununua madege toka kwa mabeberu huku watoto wetu hawana madarasa, madawati, na wanajisaidia machakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…