Afu ukiwauliza mmefanya mchakato saa ngapi,kukutana na kamati za shule,kujadili..n.kKokoto nondo mchanga zimepelekwa site naona ujenzi umeanza faster
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Lakini kama Rais asingesema ukiomba hela ya shule, watakavyo kuelezea michakato yake utachoka hata kabla hujaanza aisee!
Wanaudhi sana watu wa hizi Manispaa na Halmashauri. Wanajifanya kujua michakato kumbe upigaji tu. Wakuu wa shule hubanwa na mainjinia pindi hela zikitoka za ujenzi au ukarabati.
Mkuu wa shule akigangamala utasikia mainjinia wanakataa jengo kisha inakula kwa mkuu wa Shue.
Kuna changamoto kubwa sana kwenye Local Govement! Mungu atunusuru;
Vyombo vya usalama vimemfikishia mzee taarifa,akaizungumzia ndo wanakurupuka kujenga, Mhe. Akiwa anatumbua tumsamehe tu!