Mr Kipara
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 566
- 1,029
Naandika huku nikiwa na huzuni kubwa kwa Taifa letu kupoteza nguvu kazi kubwa (vijana), inakadiriwa zaidi ya vijana elfu 20+ waliuawa kwenye kile kilichoitwa Uchaguzi.
Itakuwa nikujidanganya kwa kudhani mambo ni shwari kama ilivyokuwa kabla ya hicho kilichoitwa Uchaguzi, ukweli nikwamba Taifa limechukuwa Mkondo mwingine kabisa kiasi kwamba kama Watawala wataendelea kushupaza shingo hakuna atakaye kuwa salama.
Huku mitaani wenye Baiskeli na Pikipiki za SSH wanaziogopa hata kuziendesha,hata wale wanaopeperushaga Bendera za kijana kwenye Majumba yao wamezishusha kwa hofu ya kuchomewa nyumba zao.
Ndugu zangu, siioni ile Tz tulioiziea tena, kwanamna mambo yanavyokwenda Taifa limevimba kila mtu analia kivyake hata kama hakukutwa na hii misiba.
Tumekwisha tengeneza Taifa la visasi, hawa watu waliopoteza ndugu zao tusije kujidanganya kwamba watasahau,utakuwa ni uwenda wazimu kufikiria hivyo.
Tujiandae kwa mambo magumu huko mbele, nina hakika hata Watawala hawatakaa kwa amani kama zamani kwasababu hata wao wanajua nini kinakwenda kutokea.
Nawasilisha.
Itakuwa nikujidanganya kwa kudhani mambo ni shwari kama ilivyokuwa kabla ya hicho kilichoitwa Uchaguzi, ukweli nikwamba Taifa limechukuwa Mkondo mwingine kabisa kiasi kwamba kama Watawala wataendelea kushupaza shingo hakuna atakaye kuwa salama.
Huku mitaani wenye Baiskeli na Pikipiki za SSH wanaziogopa hata kuziendesha,hata wale wanaopeperushaga Bendera za kijana kwenye Majumba yao wamezishusha kwa hofu ya kuchomewa nyumba zao.
Ndugu zangu, siioni ile Tz tulioiziea tena, kwanamna mambo yanavyokwenda Taifa limevimba kila mtu analia kivyake hata kama hakukutwa na hii misiba.
Tumekwisha tengeneza Taifa la visasi, hawa watu waliopoteza ndugu zao tusije kujidanganya kwamba watasahau,utakuwa ni uwenda wazimu kufikiria hivyo.
Tujiandae kwa mambo magumu huko mbele, nina hakika hata Watawala hawatakaa kwa amani kama zamani kwasababu hata wao wanajua nini kinakwenda kutokea.
Nawasilisha.