Hivi Shujaa wa Afrika kwa mujibu wa TBC Taifa kabla hajafariki aliwahi kukutana na Baba mtakatifu aketiye kitini pa enzi? Au ndiye rais pekee wa Tanzania kutokutana na khalifa huyo wa Kristo?
Kama hawakuwahi kukutana wamewahi kuwa na mawasiliano yoyote?
Bc: Askofu Niwemugizi