andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Mtoa hoja (BRIA)......nilikuwepo karibu sana na tukio hilo, alipita akawasalimia ni jambo zuri tu na akawaomba kula, kisha akaanga kwamba anakwenda Hai..........................sasa wasiwasi wa nini juu ya kujiunga na CCM? .......... Labda una data zaidi ya tukio lilitokea hapo bar jan usikuuuu, lakini kwa data nilizonazo aliondoka pale na wapambe wake kibaoooo, huwezi enda kujadiliana na wanapinzani wako ukiwa na wapambe na magari yako ya kampeni, hilo ni jambo la farafha kuriko kutongoza demu