Madishi na receiver vitaendelea kufanya kazi kama kawaida. Mabadiliko haya yataathiri wale ambao wanatumia antena zakawaida za kwenye TV ambazo zinategemea minara.
Mkuu kama una Receiver ya MPEG2 itabaki kopo vituo vya matangazo vitabadili mfumo toka mpeg2 kwenda mpeg2 dvb s2 au mpeg 4 dishi zitaendelea kufanyakazi chakujiandaa upate mpeg4