Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Madai haya mapya yametolewa mahakamani jijini Mbeya , ambako Mdude Nyagali anaendelea kujitetea dhidi ya tuhuma za uongo alizobambikiwa kinyama za madawa ya kulevya .
Mdude amedai mbele ya Mahakama huku machozi yakimtoka kwamba , baada ya kuanza kujitetea tarehe 25 march 2021 , na kesi yake kuahirishwa hadi leo 8 April 2021 , tarehe 26 alipigwa sana na kuteswa ndani ya Gereza , ambapo watesaji na wapigaji hao ambao ni Maofisa Magereza walimshutumu Mtuhumiwa Mdude kwa makosa mapya ya kuisumbua serikali.
Mdude ameiambia Mahakama kwamba anawafahamu watu wote waliompiga na kumtesa , Kesi hiyo ingali bado inaendelea ambapo muuza unga huyu wa kutengenezwa anaendelea kujitetea .
Chama chake cha CHADEMA kinafuatilia unyama huo uliotendwa dhidi ya Mdude
NO HATE NO FEAR .