Kwenye mdahalo wa leo live ITV, Wassira akiwa peke yake dhidi ya Prof.Lipumba,Tundu Lissu,Humphrey Polepole na mashabiki wa ukawa mdahalo ulikuwa Moto.
Mpaka mwisho wa Mdahalo Wassira has become the Man of the Match, Lissu kaaibika na Lipumba akaishiwa Takwimu.
Wassira kawabwaga ukawa kwa aibu kubwa huku ukawa wakibaki kulialia kuwa wanataka kuonana na Rais.
Ushabiki at work!