Baada ya mapenzi

Love is a serious mental disease'!!!!....take that
No kidding.

Today I'm all that and a bag of chips but tomorrow I'm a worthless ugly piece of shit.

Makes me think for the most part love and hypocrisy are not mutually exclusive.
 
Nakuunga mkono na mguu sweetheart
 

Rei mambo?

Vipi na kwa wale ambao huwa wanaachana na kurudiana?

Tuseme baada ya kuachana mmoja au wote wanaanza kukandyana.

Huyu anasema mwenzie mbaya mwenzie naye anasema mwenzake ananuka, na kadhalika na kadhalika.

Halafu baada ya muda wanarudiana tena. Sasa hapo vipi?

Yote ni ya kweli kulingana na muktadha wa wakati uliopo?

Kwamba wakiwa penzini kila mtu ni bonge la hendsamu, byutiful, n.k.

Ila wakitosana hendsamu anageuka anakuwa mbaya na byutiful anakuwa na sura kama chura.

Wakirudiana tena yule alokuwa mbaya anageuka kuwa hendsamu na mwenye sura kama chura mara anakuwa beauty queen.

Niaje hapo mama? [I'm your son, right?]

Hivyo mimi naona ni kama survival strategy.

Yup...I think so too. Sometimes people say bad things about other people in order to ease whatever difficulties they are going through.
 
Mimi nilimuongelea maneno mabaya yule mwanamke kwa sababu niliona kaniacha yeye lakini kila siku ananichimba chimba ili ajue kama najuta kuachana naye!!

Nikamuambia naweza kuwa na binadamu yeyote yule wa kike kama.na.yeye yuko tayari kuwa na mimi
 

Mambo poa....

Kwa navyofahamu, kuna wanaoachwa na huwaongelea vibaya wenzao na kuongezea chumvi ili kuwachafua huku wao wakijifariji.

Wengine wanaachwa lakini mabaya wanayoyasema dhidi ya wenza wao wa zamani yanakuwa ni kweli tupu.

Wanaoacha mara nyingi watasema ukweli kwa nini wameamua kuwapiga chini wenza wao. Wanakuwa genuine.

Mkirudiana maana yake ni kuwa mmesameheana na mko tayari kila mmoja kurekebisha mapungufu yake.

Lakini kumbuka sababu za kurudiana zinaweza pia zisiwe genuine. Mnaweza kurudiana kinafki tu.

Sijui kama nimejibu

Oh... And yes u are my son.
 
Mimi nilimuongelea maneno mabaya yule mwanamke kwa sababu niliona kaniacha yeye lakini kila siku ananichimba chimba ili ajue kama najuta kuachana naye!!

Nikamuambia naweza kuwa na binadamu yeyote yule wa kike kama.na.yeye yuko tayari kuwa na mimi
Hahaaa!! Ndio yuleeeee au mwingine?
 
Sija wahi kuumba mtu.Na mtu hakujiumba/hakuchagua alivo.
Ndio maana sija wahi kumwongelea vibaya nilie mwacha/alie niacha.
 
na hayo anayotamka mkishakua mmemwagana,ndo ukweli halisi,hata demu wako mkikosana,maneno anayotamka baada ya kukosana,ndo hari halisi
 
Narudia tena..mapenzi hayana fomula.
 
That's my girl! I am of the same type...umuongelee vibaya aliyekuwa mpenzi wako ili iweje!? Ni ujinga tu kwa maoni yangu ambao hauna manufaa yoyote yale.
Watu mlipendana, mkashare mengi ya nini kuanza kukashifiana eti kisa mmeachana. Sipendi kwakweli.
 
KICHWA KAMA TOFALI.
kwa sauti ya "KOMANDO"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…