Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Hivi ni nani aliyetuloga watu wa kusini? Mwaka Jana baada ya kupata hela za korosho tuliwanunulia soda mbuzi , mwaka huu tena madiwani wa Masasi wanalalamika baada ya kupata hela za korosho wanawake wengi sana kutoka mikoa mbalimbali na nchi jirani wamehamia kusini kwa ajili ya kujiuza na tumewakubalia tu.
Lini tutapata maendeleo?
Lini tutapata maendeleo?