Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

Sasa lugha inatofauti gani na lugha ya kiingereza?. Labda kwakuwa wao wanatumia namba tu ila mzigo ni kama sawa. Maana katika kila kipindi lazima zoezi litolewe na lisahihishwe bila ya kusahau home work za kutosha.
Mzigo hauwezi kuwa sawa mkuu, usilinganishe sayansi na huo upupu wa kiingereza, english ya form two MABALA THE FARMER, mara HAWA THE BUS DRIVER ulinganishe na akina NEWTON, AKINA ARCHIMEDES, AKINA MICHAEL FARADY, AKINA FORCE. Tutake radhi walimu wa sayansi kabla hatuja apply compressive force.
 
Swali dogo la nyongeza. Hii ongezeko ni posho ya kufundisha sayansi au ni nyo ngeza ya mshahara?
Angalizo ni kwamba posho haiongezi mshahara na ukisha retire kikotoo hakitaangalia posho baali Basic Salary.....!!!
Ni nyongeza ya mshahara sio posho....
 
Angalau serikali imeanza kurudi kwenye chati.

Kulikuwa na madai na maoni mbali mbali kuhusu changamoto wanazopitia walimu wa sayansi, miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na mzigo mkubwa wa vipindi, kutekeleza majukumu ya watu wa maabara kama vile kuandaa na kusimamia practicals, kubaniwa baadhi ya promosheni kutokana na uchache wao na mambo mengine mengi.

Kutokana na hali hiyo, wadau mbali mbali wa elimu walitoa maoni yao na kubwa zaidi wakitaka serikali kuwapa motisha walimu wa sayansi ili kuwatia moyo na hamasa ya kujituma zaidi katika kazi. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wadau hapa hapa JF ni haya hapa chini.

1. Maoni: Walimu wa masomo ya Sayansi wapewe malipo ya ziada

2.
Sasa, baada ya maoni hayo ni rasmi serikali imeyasikia hayo malalamiko na imeamua kuyafanyia kazi kwa vitendo.

Kwa hatua ya sasa, serikali imeanza kwa kuwaongezea kiasi kidogo( japo si haba!) kwenye mishahara ya walimu wa sayansi.

Sambamba na hilo, walimu wapya wa masomo ya sayansi wameanzia kidato cha tatu cha mshahara( tgts d3). Wa sanaa wameendelea na utaratibu ule ule wa mwanzo wa kuanzia kidato cha kwanza(tgts d1).
[/QUOTE
Hayo ya kweli ?kwani hata hamwaminiki tena,tuthibitishie yayo ama ni yale yale wagawe kwa urahisi wa kuwadhulumu.
 
Duh! Kama mwalimu wa sayansi analipwa 716,000/= na ameongezewa 40,000 kuwa 756,000/= huyu anayefundisha sanaa(Kiingereza, kiswahili, histori,Jiografia n.k) analipwa bei gani?Yumkini ndo maana shule za Serikali performance iko very poor! Mishahara haitoshi kabsaaaa!!!
Leo mwanasiasa Mbunge tena class 7 anakula zaidi ya 5m/= per month na seating allowance 300,000/= per dm!!!What a disgrace to teachers???
Kwani wewe kwenye kazi yako unavuta bei gani mkuu. Pengine huyo mwalim atakuwa analipwa mara tatu yako,,
 
Mzigo hauwezi kuwa sawa mkuu, usilinganishe sayansi na huo upupu wa kiingereza, english ya form two MABALA THE FARMER, mara HAWA THE BUS DRIVER ulinganishe na akina NEWTON, AKINA ARCHIMEDES, AKINA MICHAEL FARADY, AKINA FORCE. Tutake radhi walimu wa sayansi kabla hatuja apply compressive force.
Mkuu umemshukia kama mwewe huyu haijui physics nadhani huw anaisikia tu. Hapo bado hujazungumzia Caliculus kweny maths huk advance.
 
Duh! Kama mwalimu wa sayansi analipwa 716,000/= na ameongezewa 40,000 kuwa 756,000/= huyu anayefundisha sanaa(Kiingereza, kiswahili, histori,Jiografia n.k) analipwa bei gani?Yumkini ndo maana shule za Serikali performance iko very poor! Mishahara haitoshi kabsaaaa!!!
Leo mwanasiasa Mbunge tena class 7 anakula zaidi ya 5m/= per month na seating allowance 300,000/= per dm!!!What a disgrace to teachers???

Hivi Mliopo serikalini kwa mtu mwenye degree hivi kuna anayekula zaidi ya 1.2m Net? Nazungumzia Juniors sio Wanaokaribia kustaafu.
 
I see...

Hapa alikuwa ndiyo mwalimu pale Sengerema Sekondari au? Maana hata hii suti ni ya miaka ya 1990s...

Hata hivyo, ni kweli kiingereza kinampa shida sana PhD holder huyu...

Hapa anaonekana ku - struggle kweli kutamka maneno kiasi cha kuyakosea from A to Z...

å I am a politicians...

å I am just want to say congregation...
 
Back
Top Bottom