MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,432
Nachukua nafasi hii kulipongeza jeshi la polisi Doria kwa kulinda rasilimali bahari /ziwa kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Itakuwa aibu kama mtoto atakayezaliwa miaka 15 ijayo asikie kulikuwa na samaki anaitwa ningu au gogogo lakini leo hayupo sababu tu wavuvi haramu waliachiwa kufanya wanaloweza.
Last edited by a moderator: