LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Sasa ndio naamini kwa nini mchina anapigwa vita na kuwekewa figisu barani ulaya na America yote ni kutokana na bidhaa zake kuwa cheap lakini ni nzuri,na ndio naamini sio kila kitu kutoka china ni feki.
Mwaka 2015 nilinunua tv 3 moja ya nyumbani na mbili za kuweka eneo la biashara, mbli zilikuwa ni brand za samsung na Lg na nilichukua kwenye maduka yao kabisa na moja ilikuwa ni ya star x ya bei cheap zote zilikuwa ni 32 inch.
lakini mwaka wa Nne huu ile tv ya samsung kioo kizima kimejaa mistari na ya Lg, ndio ilikufa kabisa, na zote zilikuwa zinatumika kuanzia asuhi nonstop hadi usiku ndio zilikuwa zinazimwa
lakini kinachinishangaza ni tv ya kichina hadi leo inapiga mzigo na haina kasoro yoyote na inawashwa asubihi hadi usiku nonstop, hapo ndipo nilipomini kuwa figisu anazowekewa mchina kwenye bidhaa zake sababu ndio hizi, ana vitu vizuri na bei ni cheap,
Angalia huawei jinsi anavyoandamwa,na inasemekana china anaingiza barani ulaya bidhaa nyingi imara za kielectroniki kwa bei cheap ndio maana wanamuwekea vikwazo
Mwaka 2015 nilinunua tv 3 moja ya nyumbani na mbili za kuweka eneo la biashara, mbli zilikuwa ni brand za samsung na Lg na nilichukua kwenye maduka yao kabisa na moja ilikuwa ni ya star x ya bei cheap zote zilikuwa ni 32 inch.
lakini mwaka wa Nne huu ile tv ya samsung kioo kizima kimejaa mistari na ya Lg, ndio ilikufa kabisa, na zote zilikuwa zinatumika kuanzia asuhi nonstop hadi usiku ndio zilikuwa zinazimwa
lakini kinachinishangaza ni tv ya kichina hadi leo inapiga mzigo na haina kasoro yoyote na inawashwa asubihi hadi usiku nonstop, hapo ndipo nilipomini kuwa figisu anazowekewa mchina kwenye bidhaa zake sababu ndio hizi, ana vitu vizuri na bei ni cheap,
Angalia huawei jinsi anavyoandamwa,na inasemekana china anaingiza barani ulaya bidhaa nyingi imara za kielectroniki kwa bei cheap ndio maana wanamuwekea vikwazo