Sumaye hana moral authority wa kuwa mtaji kwa cdm,alipokuwa madarakani kajilimbikizia ardhi hovyo kama Kibaigwa na Mvomelo hawapendi ata kulisikia hilo jina na alikuwa na majibu ya dharau kwa wapinzani. Kwa nn asitulie ajilie marupurupu yake ya ustaafu? Kama ccm wameshindwa kumpa japo uNEC cdm watampa cheo kipi? Labda udiwani.
Sisi tutaongea tu, lakini ndo hivyo tayari wameshateta, tusubiri kitakachojiri.
Umekoma eh!?Sumaye amepotea njia kwenda Chadema chama kinachopumulia oxygen sasa hv mpango mzima ni CCM anatapatapa tuuu
Gazeti la Mwanachi je linaaminika?
Gazeti la Mwanachi je linaaminika?