SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
He is not presidential material.
Salary Slip Mh. Sumaye sidhani kama ana mvuto wa kuongeza wapiga kura, abaki tuu huko CCM atulie maisha ni zaidi ya kuwa Raisi. Hiyo network ilishindwaji kumsaidia wakati akiwa Waziri Mkuu kufikia angalau nafasi ya tatu au ya pili kwenye kura za CCM za kumsaka mgombea wa uraisi? Dr Slaa kwa wananchi wa kawaida ambao ndio wenye ufunguo wa Ikulu ana jina kubwa kuliko huyu waziri mkuu mstaafu
mkuu huyu hata udiwani hafai maybe balozi wa nyumba kumi japo sidhan sana kama atafaa.
kumbe eeeh!Hivi kazi ya oil chafu ni nini?
Toa taarifa kamili. Kama ulijua taarifa hiyo iko kwenye Mwananchi, afadhali usingeileta hapa.
Hivi kazi ya oil chafu ni nini?
Something is wrong with your reasoning! Oil chafu ni wale wanaowakimbia au mnaowafukuza? kwa uhakika hamna ubavu wa kumfukuza mtu maana nyie ni wanafiki, bali humuondoa kimyakimya na kummaliza kiakili na kimwili hata kiroho!!!!!!!!!! Hata hivyo hiyo Oil chafu mnayoiita itakuja kuwacost, mna dharau sana na hamuamini kuwa there is a day! and that day will come no sooner as me and you get old!!!!!!!!!! HAlafu hiyo avatar yako we jamaa kama upo hivyo naamini ndiyo maana unapenda "the greens".
He is not presidential material.
Kateta na viongozi wa cdm wapi na ni nini kilichotetwa,habari nusunusu zinznibore bana,hebu eleza.