Tanzania can market its own tourist attractions without the EAC.
La msingi tufanye juhudi zote watalii waje Tanzania moja kwa moja bila kupitia nchi jirani hasa Kenya!
Maamuzi ya lazima. Vinginevyo tutabakia kuambulia posho wakati vivutio vipo kwetu.
Wanaokuja kupanda Mlima Kilimanjaro wafikie Tanzania. Sio kula, kulala, kununua souvenir Kenya harafu kuja Tanzania kulipia tozo ya kupanda mlima tu.