Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,697
- 4,729
Tanzania imejitoa dk za lala salama kusaini makubaliano ya visa ya pamoja ya nchi za Áfrika Mashariki kuhusu watalii kutembelea nchi yeyote ya AM kwa kutumia visa moja (common visa charged at $100 instead of $150 that each country charged before)
Ikumbukwe pia mwezi July mwaka huu Tanzania ilitosa kusaini makubaliano ya Economic Partnership Agreement (EPA) kati ya EAC na EU.
Nyuma kidogo ingawa hii ni kwa kenya pekee, Tanzania ilifanikiwa kumtongoza Uganda apitishe bomba lake la gesi TZ tofauti na mwanzo ambapo lilikua lipitie Kenya.
Kwa haya yote naona ni kama yanawagusa zaidi wakenya kuliko nchi zingine za AM. ni kwa sababu wana uchumi mkubwa zaidi kuliko nchi zingine za AM.
Ikumbukwe pia mwezi July mwaka huu Tanzania ilitosa kusaini makubaliano ya Economic Partnership Agreement (EPA) kati ya EAC na EU.
Nyuma kidogo ingawa hii ni kwa kenya pekee, Tanzania ilifanikiwa kumtongoza Uganda apitishe bomba lake la gesi TZ tofauti na mwanzo ambapo lilikua lipitie Kenya.
Kwa haya yote naona ni kama yanawagusa zaidi wakenya kuliko nchi zingine za AM. ni kwa sababu wana uchumi mkubwa zaidi kuliko nchi zingine za AM.