Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Nchi ya Kenya kupitia raisi wake Ruto imekua ni nchi ya kwanza mwaka huu 2023 kutangaza kuondoa utaratibu wa Visa kwa raia wote wa Africa kuingia Kenya hadi ifikapo 2024.
Ikumbukwe kua Ruto amekua akitrend kwene platform na media mbalimbali za Africa huku akionekana kama Africa Hero kama Alivokua Rais Magufuri….(Nje ya tanzania)
Bila kupoteza Muda PK ameona nayeye atumie fursa kusafisha CV yake
NB: HONGERA RAIS WA KENYA RUTO
Ikumbukwe kua Ruto amekua akitrend kwene platform na media mbalimbali za Africa huku akionekana kama Africa Hero kama Alivokua Rais Magufuri….(Nje ya tanzania)
Bila kupoteza Muda PK ameona nayeye atumie fursa kusafisha CV yake
NB: HONGERA RAIS WA KENYA RUTO