Baada ya kutamba sana Clouds Tv "dead and Gone"

Mkuu acha mbio, Uwe unasoma kabla ya kupost maana siku nyingine utapost matusi.
Coluds, kutumbia, kua... ni mifano tu.
Ila kuhusu kuyumba kwa mambo awamu hii ya 5 ni kawaida tu, kwani huko uliko mafuta ya kupikia bei gani? Sukari, Cement je? Bati n.k.
Nafikiri mimi na wewe tuko shimoni tayari tunamsubiri tu Clouds aungane nasi na sidhani kama atakuja.
Good
 
Back
Top Bottom