Asante nimecheka, nimetafakari, nimefurahi saana. ushauri mzuri sana. Kazi kwao!:gossip:Hii inabidi CCM waikopi na kuihifadhi...inaweza kuwasaidia 2015 (wanai edit kidogo tu basi)!
Sijui 2015 ccm watakuwa na uwezo wa kutamka maneno kama haya?.