Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
Jamani imekuwa kawaida watu kuomba ushauri kwa mambo mbalimbali yanayotuhusu kama familia ya MMU,tunahitaji sasa ukiomba msaada wa mawazo uwe unatuletea mrejesho wa kile tulichokushauri,coz ungekua unauwezo wa kutatua tatizo mwenyewe usingeleta linalokusibu humu.
Tunaomba mfanye hivyo.
Tunaomba mfanye hivyo.