Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,597
- 5,185
Nichukue tu mda kusema kitu, japo mimi ni mtumiaji mzur wa xiaomi ila sikuwahi miliki simu ya brand hii ikiwa na amoled ( kampuni zingine nimewahi).
Nilipoipata redmi note 10 yangu (kutoka aliexpress kwa bei ya 376 elfu hivi na visenti),nilipoitumia kwa mara ya kwanza mda huo huo nilikua na 1+ 8 ya kuachiwa na mtu nimtunzie kwa mda nilibaini haya.
Redmi note 10 yangu kwanza niliweka mwanga uwe auto , ila cha ajabu ni kua ukiifata simu itakavyo unajikuta unaumiza macho na kichwa kwani ,hata ndani ya nyumba mda mwingi ukiweka auto mshale wa mwanga unakua umezidi asilimia almost 70 kuendelea .
Hii ni tofauti na redmi note 8T niliouza mda si mrefu na pia redmi note 9 alionayo wife naitumia sana pia kwan zenyewe ukiwa ndani auto unakuta inasoma adi almost asilimia 25 mpka 45 hivi.
Note 10 nikiwa nje na nikaweka mwanga chini ya asilimia 60 hivi nakua sioni kitu kwan mwanga nauona hafifu sana na nikiweka full ndio inshu za kichwa na macho zinaanzia apo.
Kuna jukwaa moja nilipitia nikaona wanaijadili inshu ya simu kua na Nits ndogo kua ndio sababu ya simu kuifanya kua na mwanga huo hafifu unapoiweka kwenye mwanga tofauti na simu zenye nits mingi like hio moja plus 8 .
Kifupi nimefanya haya kuondoa au kupunguza tatizo ,nimeamua kuapply dark mode kwa kila kitu ili kuendana na uhalisia wa macho yangu na kichwa hakiumi,
Simu hua sizim data na ninakua online nikiperuzi kwa masaa yasiopungua nane hadi 10 kwa siku hivo kutokana na kulazimika kuweka mwanga mkali simu inakula chaji plus vpn nayo nasikia hutumia chaji sana
Nilipoipata redmi note 10 yangu (kutoka aliexpress kwa bei ya 376 elfu hivi na visenti),nilipoitumia kwa mara ya kwanza mda huo huo nilikua na 1+ 8 ya kuachiwa na mtu nimtunzie kwa mda nilibaini haya.
Redmi note 10 yangu kwanza niliweka mwanga uwe auto , ila cha ajabu ni kua ukiifata simu itakavyo unajikuta unaumiza macho na kichwa kwani ,hata ndani ya nyumba mda mwingi ukiweka auto mshale wa mwanga unakua umezidi asilimia almost 70 kuendelea .
Hii ni tofauti na redmi note 8T niliouza mda si mrefu na pia redmi note 9 alionayo wife naitumia sana pia kwan zenyewe ukiwa ndani auto unakuta inasoma adi almost asilimia 25 mpka 45 hivi.
Note 10 nikiwa nje na nikaweka mwanga chini ya asilimia 60 hivi nakua sioni kitu kwan mwanga nauona hafifu sana na nikiweka full ndio inshu za kichwa na macho zinaanzia apo.
Kuna jukwaa moja nilipitia nikaona wanaijadili inshu ya simu kua na Nits ndogo kua ndio sababu ya simu kuifanya kua na mwanga huo hafifu unapoiweka kwenye mwanga tofauti na simu zenye nits mingi like hio moja plus 8 .
Kifupi nimefanya haya kuondoa au kupunguza tatizo ,nimeamua kuapply dark mode kwa kila kitu ili kuendana na uhalisia wa macho yangu na kichwa hakiumi,
Simu hua sizim data na ninakua online nikiperuzi kwa masaa yasiopungua nane hadi 10 kwa siku hivo kutokana na kulazimika kuweka mwanga mkali simu inakula chaji plus vpn nayo nasikia hutumia chaji sana