MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,105
- 3,068
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuPole sana mkuu..endelea kutafit ujue shida nin
Sawa mkuuPole sana mkuu..endelea kutafit ujue shida nin
Nilikuja humu nikasema bye bye ios na nikaomba ni android gani nzuri na itakayo kaa vizuri na moto pamoja na u quality wa camera.
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu na wengi mlinishauri nichukue kampuni ya Redmi.
Kutokana na bajeti yangu niliweza kununua Redmi Note 10, hii simu iko vizuri sana inakaa na chaji, camera safi, iko very faster.
Tatizo langu toka niaze kuitumia nimekuwa na changamoto ya kuumwa kichwa, pamoja na macho sijui shida iko wapi, sijui Display ya hii simu sijui kitu gani.
Nimetumia iPhone miaka yote lakini sikuwahi kupata changamoto kama hii naombeni msaada wenu juu ya hili.
Display yake ni SUPER AMOLED na Display ya iPhone niliyokuwa natumi ni IPS LCD.
Ahsante kaka ngoja nifanye hivyo nioneBroo jaribu kuzima Bluetooth na wifi. Kuna baadhi ya simu zinaumiza sana. you will thank me
Ahsante kaka ngoja nifanye hivyo nione
Hyo ni issue ya PWM flickering tu. Wewe upo katika lile kundi ambalo mnanotice PWM flickering kirahisi na inawaumiza kichwa. Hata kwenye auto brightness bado unaweza sogeza ile slider isilale sana kwenye low brightness.Nimeweka Auto brightness na ndo natumia siku zote
Nawaza nirudi tu ios, maana nimekaa nayo muda mrefu na sijaona hizi changamoto. Nimajaribu kufatiria huko google wanasema display ya Amoled pia inachagia kuumiza macho pamoja na kichwa.Hyo ni issue ya PWM flickering tu. Wewe upo katika lile kundi ambalo mnanotice PWM flickering kirahisi na inawaumiza kichwa. Hata kwenye auto brightness bado unaweza sogeza ile slider isilale sana kwenye low brightness.
Tofauti ya hapo basi badilisha tu simu. Unaweza research zaidi kuhusu issue ya PWM flickering utaona kuwa sio wewe tu ila wapo wengi inaowaumiza pia.
Baadhi ya vioo vya OLED vinakua na PWM (Pulse-width modulation) flickering. Vioo vya vya electronic devices vinatumia PWM kucontrol brightness ambapo kinakua kina switch ON and OFF kwa haraka sana. Ssa kuna baadhi ya watu (kama wewe) wanakua wapo sensitive sana na hii ON & OFF kiasi cha kwamba unakua unaona kma display ina cheza cheza. Kwenye OLED ni vigumu kuona display inacheza cheza ila inakua inakuumiza macho na kichwa. Kwenye LCD ndio utaona inacheza cheza. Mara nyingi simu za bei rahisi ndio zinakua na hili tatizo, unakua unaona kma mwanga kwenye kioo unacheza cheza.
Ushauri ni kwamba usipunguze brightness mpka chini au mpaka juu ukiwa unatumia simu ndani au usiku. Tumia brightness ya wastani tu
Unaona hapo mkuuAngalia hapa:
Kuna watu wengi tu ambao wanakua affected na hii kitu. Wanatakiwa waweke DC dimming kwenye software ila inaonekana kwenye Redmi Note 10 & 10 Pro bado hazina hyo update.
Jaribu kutafuta option ya Anti-flickering kwenye settings
Iphone wameniteka kila siku natam iphone ya juu yake
Ukirudi iOS usinunue iPhone yenye OLED/AMOLED display sababu nayo itakuumiza kichwa hvyo hvyo tu. Hapo ina maana iPhone X, XS, XS Max, 11 Pro, 11 Pro Max, na 12 series zote usinunue maana hzo zote zina OLED display na issue ya PWM flickering ipo huko pia.Nawaza nirudi tu ios, maana nimekaa nayo muda mrefu na sijaona hizi changamoto. Nimajaribu kufatiria huko google wanasema display ya Amoled pia inachagia kuumiza macho pamoja na kichwa.
Ukirudi iOS usinunue iPhone yenye OLED/AMOLED display sababu nayo itakuumiza kichwa hvyo hvyo tu. Hapo ina maana iPhone X, XS, XS Max, 11 Pro, 11 Pro Max, na 12 series zote usinunue maana hzo zote zina OLED display na issue ya PWM flickering ipo huko pia.
Yeah. Hapo ni kucheza na iPhone 8 kushuka chini, XR na 11 plain. Maana hzo ndio zina LCD na sio OLEDNaona hapo iPhone 7 au 8 na plus zake ndio nzuri kwake. Nina iphone 7 na iphone 8 kwangu naona safi tu ila Samsung note 10 plus imekua pia nikiona kioo kama kinacheza
Kwahiyo ni matatizo yetu binafsi ? Tutafute dawaNaona hapo iPhone 7 au 8 na plus zake ndio nzuri kwake. Nina iphone 7 na iphone 8 kwangu naona safi tu ila Samsung note 10 plus imekua pia nikiona kioo kama kinacheza
Mkuu hapo vipi nitakuwa nime solve tatizo?Angalia hapa:
Kuna watu wengi tu ambao wanakua affected na hii kitu. Wanatakiwa waweke DC dimming kwenye software ila inaonekana kwenye Redmi Note 10 & 10 Pro bado hazina hyo update.
Jaribu kutafuta option ya Anti-flickering kwenye settings
Pole sana, binadamu wabaya sana...
Fitna za binadamu hizo kwa sababu umenunua simu mpya...kwanini
Fitna za binadamu hizo kwa sababu umenunua simu mpya...