Baada ya kusema bye bye ios

Baada ya kusema bye bye ios

Baadhi ya vioo vya OLED vinakua na PWM (Pulse-width modulation) flickering. Vioo vya vya electronic devices vinatumia PWM kucontrol brightness ambapo kinakua kina switch ON and OFF kwa haraka sana. Ssa kuna baadhi ya watu (kama wewe) wanakua wapo sensitive sana na hii ON & OFF kiasi cha kwamba unakua unaona kma display ina cheza cheza. Kwenye OLED ni vigumu kuona display inacheza cheza ila inakua inakuumiza macho na kichwa. Kwenye LCD ndio utaona inacheza cheza. Mara nyingi simu za bei rahisi ndio zinakua na hili tatizo, unakua unaona kma mwanga kwenye kioo unacheza cheza.

Ushauri ni kwamba usipunguze brightness mpka chini au mpaka juu ukiwa unatumia simu ndani au usiku. Tumia brightness ya wastani tu
We jamaa bilashaka ni engineer wa simu, nimependa jinsi ulivyoelezea in technical wise
 
Ndio mkuu
Itakuwa macho yako yako sensitive na mwanga. My guess ni kuwa kwenyw iPhone ulikuwa umeset au default set brightness/contrast ilikuwa chini kuliko kwenye new device.

Kama ndivyo set brightness to fixed instead of auto. As addition kama ni mpenzi wa dark theme huwa comfortable kwa macho, haswa usiku au sehemu zenye giza.
 
Itakuwa macho yako yako sensitive na mwanga. My guess ni kuwa kwenyw iPhone ulikuwa umeset au default set brightness/contrast ilikuwa chini kuliko kwenye new device.

Kama ndivyo set brightness to fixed instead of auto. As addition kama ni mpenzi wa dark theme huwa comfortable kwa macho, haswa usiku au sehemu zenye giza.
Wamesema hizi Amoled display zinakuwa na shida kwa baadhi ya watumiaji. Macho yangu yako vizuri sana
 
Nawaza nirudi tu ios, maana nimekaa nayo muda mrefu na sijaona hizi changamoto. Nimajaribu kufatiria huko google wanasema display ya Amoled pia inachagia kuumiza macho pamoja na kichwa.

..and we will comeback Home x2
..Home again
From now on..these eyes won’t be blinded by the lights

The Greatest showman
 
Mkuu itakua unashida ww mwenyew...

Nipo na note 10 hapa sjawah umwa hata sikio..
Unajua hata ukiinunua simu ,kama ulivyonielekeza hii simu ili upate ile pure amoled kuna kitu unakiset ili color zikae vizur ,nenda kwenye color scheme weka iwe saturated kisha chini yake weka default na uinjoi
 
Back
Top Bottom