Baada ya kupita barabara ya juu ya Ubungo Interchange, nimewaza tofauti

Naifahamu railway system ya Uingereza from London Heathrow, Piccadilly Circus to Scotland. Zile main trunks ni duo lines ili kuruhusu ufanisi na kutosubiriana. Inashangaza mnaposema mahitaji bado ni madogo. Mmefikiria miaka mingapi mbele au mnataka kujenga reli nyingine miaka mitano ijayo? Hivi unajua kuwa mabasi ya mwendo kasi hayajawahi kutosha kwa hiyo phase ya Kimara-Kivukoni? Tz ina watu wengi na wanaongezeka kwa wingi sana lakini hatuplani accordingly.
Mbona unarukaruka? Sasa tuhamie mwendokasi? I'm glad umejua kuwa single track haina maana lazima kusubiriana ni logistics tu train zinatembea kama kuna line mbili au zaidi. UK train traffic unataka kufananisha na sisi tunaonza na ambao tangu enzi za Mjerumani tuna single track na ilikuwa inatosheleza?

Halafu mnasema tunatumia hela nyingi kwenye vitu badala ya watu kipi Bora kwako kujenga single track Kwa 7tr ambayo itatumika 80% au kujenga duo Kwa 12tr ambayo itatumika 30%?

Btw hio sgr imejengwa pembeni ya mgr kwahio inaonesha kukitokea uhitaji uwezekano wa kujenga extra line upo.
 
Sasa Mimi ninayeishi nyanchenche huku Geita na sijawahi hata kufika Dar hiyo fly over inanisaidia nini? Kwanza ni mnyama gani huyo?

Acha ubinafsi kijana, ulitaka ikusaidie wewe ndio uone ukamilifu?

Inawasaidia Watanzania wengine wenye kuifikia, wewe baki huko huko kijijini kwenu zumbukuku wewe!
 
Kwanza nikubali kwamba maisha yanabadilika kwa kasi sana siku kwa siku na hakuna namna unaweza kufanya yakusubiri mpaka uwe tayari.

Leo nimebahatika kupita barabara ya juu ya Ubungo interchange iliyofunguliwa hivi karibuni nikiwa njiani kuelekea Airport. Nikiwa juu nimepata mwanga fulani na kama ukipata muda pita hapo utabaini mambo kadhaa yafuatayo...
Kwa maoni haya, I think hata Nairobi hapo hujafika. IN SHORT YOU DO NOT KNOW WHAT YOU ARE WRITING
 
Kwanza nikubali kwamba maisha yanabadilika kwa kasi sana siku kwa siku na hakuna namna unaweza kufanya yakusubiri mpaka uwe tayari...
Tunataka maendeleo yaendana na utility ya watu.Barabara hailiwi na madaraja hayawezi kuvaliwa.Badolite ilikuwa Kama Paris Leo ikoje?
 
Kwanza nikubali kwamba maisha yanabadilika kwa kasi sana siku kwa siku na hakuna namna unaweza kufanya yakusubiri mpaka uwe tayari...
Tanzania hakuna barabara za juu wewe nenda katembee uone! Umetoka kwenu mbwinde huko watu wana kunywa maji ya rope unakuja mjini kusoma chuo unamatongotongo bado
 
Mkuu usifikiri tunaomuunga mkono Magufuli tunakurupuka??

Tulipata muda wa kutosha kumfanyia tathmini na kumuona anafaa.

Binafsi sijutii kumuunga mkono huyu jamaa.
Ninamuombea rais wangu huyu siku zote.

Mungu ampe maisha marefu na nguvu ya kusukuma maendeleo yetu mbele
 
Watu washamba kama ninyi ndo Magufuli anawataka, yaani miaka 60 ya uhuru unaona daraja la ubungo ni achievement kuuuuubwa?

kuna mjinga mwingine aliniambia kuwa ukipanda ile Dreamliner huwezi ukamnyima kura Magufuli. Yaani nikasema kuwa na vyeti vya degree bila exposure ni mzigo mzito watu hawaelewagi

Ukishafanya matusi kuwa ndio primary capital yako, ujue umefilisika!

Yaliyofanyika kwa nini hayakufanyika miaka mingi iliyopita? When credit is due, give it with love! Misahafu inasema kwamba asiyeweza kuwa na shukrani kwa binadamu mwenzake katu hawezi kuwa na shukrani kwa Mungu (ambaye hata kumuona hajawahi)!
 
Hiyo barabara ndio mbadala wa uhai wa ndugu zetu na Uhuru wetu?
Hiyo barabara ndio nyongeza ya mishahara ya watumishi wetu?
Hiyo barabara ndio bei nzuri ya mazao yetu kama pamba, kahawa, mbaazi na korosho?
Hiyo barabara ndio ajira kwa watoto wetu tuliowasomesha kwa taabu nyingi lakini hadi leo bado ni tegemezi kwetu?
Hiyo barabara inafuta sheria zote kandamizi za kikoloni zinazotesa taifa?
NYAMBAAFUUU...
Sikiliza Mkuu, wewe akili yako ni ndogo sana. Amini ninacho kueleza. Ungekuwa na akili usinge andika mambo kama haya.

Hata kama hao watumishi wangeongezewa mishahara, hiyo nyongeza ya mishahara yao ingewafikisva wapi? Si wangeitumia tu kukaa kwenye foleni mda mrefu wakiunguza mafuta ya bure na wakati huo huo ku haribu mazingira ya nchi? Hivi hujui kama gas inayotokana na diesel inasababisha kansa?

Kwani nyongeza ya mishahara ni asilimia ngapi ya kipato choko? Unaambiwa watantanzania wanapoteza bilioni 4 kwa siku kwa ajili ya foleni alafu anakuja mtindiga kama wewe unasema eti ni nyongeza ya mishahara yetu.

Aisee, utakuwa punguwani mkubwa sana. Wewe ni sokwe hasa ambaye hakustahili kuishi kwenye civilized World kama hii yetu.
Yaani jamaa unaonekana kama hujaliona darasa vile? Arguments zako unazotuamninsha sisi ni za kitoto kitoto. Ningekushauri Katze matongotongo yako kwanza alafu ndiyo uje kuongea na watu walio pevuka kiakiri.

Wewe ni mzandiki mkubwa sana.
 
Lissu ni akili kubwa sana kwa kweli. Hizi flyover tungejenga hata miaka ya 70 au 80 huko Ila CCM wametuletea ushenzi wao saivi ndo wanaona maendeleo kuwadanganya washamba
Wao wana miaka ishirini wana ofisi?
 
Back
Top Bottom