Baada ya kupita barabara ya juu ya Ubungo Interchange, nimewaza tofauti

kudamademede

Member
Jan 1, 2020
62
241
Kwanza nikubali kwamba maisha yanabadilika kwa kasi sana siku kwa siku na hakuna namna unaweza kufanya yakusubiri mpaka uwe tayari.

Leo nimebahatika kupita barabara ya juu ya Ubungo interchange iliyofunguliwa hivi karibuni nikiwa njiani kuelekea Airport. Nikiwa juu nimepata mwanga fulani na kama ukipata muda pita hapo utabaini mambo kadhaa yafuatayo.

1. Tanzania imepiga hatua kubwa katika miundombinu kwa kipindi kifupi cha miaka mitano

2. Ukiwa juu ya barabara hii akili inakwambia hapa sio Tanzania maana barabara imejengwa kwa kiwango cha juu sana

3. Tunahitaji muendelezo katika maendeleo tusije kuangukia mikono ya mtu ambaye maendeleo kama haya kwake sio ya maana

4. Ujenzi siku zote ni kipimo cha hekima, kile unachokijenga ndio kinaonesha hekima yako. Magufuli apongezwe katika hili.

5. Tumechelewa sana kuwa na barabara za juu lakini tunaweza kukimbia tukafika mahali.

USHAURI WANGU
Magufuli anastahili kuendelea kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi kingine. Mengi yanaweza kuongelewa lakini kwa kutia jitihada za kuelekeza mapato ya serikali vizuri.
 
Wewe ni Lumpen proletariat kweli kweli, flyover moja ya kishamba ndiyo Tanzania kupiga maendeleo.... It seems unatokea Kibugumo!
Ndiyo bashiru amewatuma kujibu mapigo ya Lissu kwa utopolo huu...

View attachment 1590241
Umeelewa alichokiandika! Eti flyover ya kishamba! Mbona ninyi mmeshindwa kujenga ofisi yenu kwa miaka 20 sasa! Hamtakaa mchukue nchi!
 
Watu washamba kama ninyi ndIo Magufuli anawataka, yaani miaka 60 ya uhuru unaona daraja la Ubungo ni achievement kuuuuubwa?

Kuna mjinga mwingine aliniambia kuwa ukipanda ile Dreamliner huwezi ukamnyima kura Magufuli. Yaani nikasema kuwa na vyeti vya degree bila exposure ni mzigo mzito watu hawaelewagi.
 
Hiyo barabara ndio mbadala wa uhai wa ndugu zetu na Uhuru wetu?
Hiyo barabara ndio nyongeza ya mishahara ya watumishi wetu?
Hiyo barabara ndio bei nzuri ya mazao yetu kama pamba, kahawa, mbaazi na korosho?
Hiyo barabara ndio ajira kwa watoto wetu tuliowasomesha kwa taabu nyingi lakini hadi leo bado ni tegemezi kwetu?
Hiyo barabara inafuta sheria zote kandamizi za kikoloni zinazotesa taifa?
NYAMBAAFUUU...
 
Tunampima Rais Magufuli na vitu alivyoweza kuvisimamia na kuvijenga ndani ya muda mfupi na vile ambavyo CHADEMA imeshindwa kujenga.

Yaani kwa mfano, Rais Magufuli ameweza kujenga daraja la ghorofa Ubungo ndani ya miaka 5, Chadema ndani ya miaka 30 imeshindwa kujenga hata Ofisi yake makao makuu? Hata jengo la choo wameshindwa? Tumeamua tunakwenda na mjenzi wa maendeleo Dr Magufuli.
 
Wewe ni Lumpen proletariat kweli kweli, flyover moja ya kishamba ndiyo Tanzania kupiga maendeleo.... It seems unatokea Kibugumo!
Ndiyo bashiru amewatuma kujibu mapigo ya Lissu kwa utopolo huu...

View attachment 1590241
Wewe ni wa nchi gani?
Twambie GDP ya hiyo nchi ni kiasi gani kisha uje na ujinga wako hapa,
Nyie ndo huwa mnadhalau vya watu kisha mnakufa bila hata kupata hicho ulichokidhalau.
 
Wewe ni Lumpen proletariat kweli kweli, flyover moja ya kishamba ndiyo Tanzania kupiga maendeleo.... It seems unatokea Kibugumo!
Ndiyo bashiru amewatuma kujibu mapigo ya Lissu kwa utopolo huu...

View attachment 1590241
Wewe ndio punguani kweli, Chadema ninyi hata mkipewa miaka 100 hamuwezi jenga hata hiyo alojenga Magufuli. Chama saccos mnajua kunywa faru John na kuchonga vitu maalum, mpaka mnavunjika miguu.
 
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati

Tutakuchagua kwa kishindo October
Tunazikubuka Roma ya Kale,Athens ya kale,Bagdad ya Harun Rashid,Misri ya kale ,Great Wall of China,kwa miundombinu kama ishara ya maendeleo enzi hizo.
 
Watu washamba kama ninyi ndo magufuli anawata,yaani miaka 60 ya uhuru unaona daraja la ubungo ni achievement kuuuuubwa?kuna mjinga mwingine aliniambia kuwa ukipanda ile Dreamliner huwezi ukamnyima kura magufuli.yaani nikasema kuwa na vyeti vya degree bila exposure ni mzigo mzito
Sasa hiyo tuiteje kama sio achievements ukweli ni kwamba tumepiga hatua sana katika ujenzi wa miundombinu kwenye ukweli ukweli usemwe! Unajua kero ya foleni iliyokuwepo hapo ubungo wewe? Au nyie kwenu maendeleo ni kuletewa hela mfukoni!
 
Aliewadanganya kuwa chadema ikikamata dola aitajenga miundo mbinu ni nani, nyie kweli ni mazwazwa.

Hoja ya chadema ni kwamba maendeleo yote yaende sambamba yani maendeleo ya vitu na watu kwa mpigo kama hawamu ya nne ilivyokuwa inafanya.
 
Ruzuku imefanya kazi ya kujenga organaizesheni unayoiona sasa ambapo Chadema ipo hadi vijijini Katoro huko.

Organaizesheni ndo kila kitu. Hata TANU walikuja kujenga ofisi baada ya kuchukua nchi. Organaizesheni kwanza
Organization ipi ? Chama kilicho kwenye game kwa Miaka 20 sasa bado mnahangaika kukijenga! Ninyi bado hamjajinga kitaasisi huo ndo ukweli mchungu!
 
Wewe ni wa nchi gani?
Twambie GDP ya hiyo nchi ni kiasi gani kisha uje na ujinga wako hapa,
Nyie ndo huwa mnadhalau vya watu kisha mnakufa bila hata kupata hicho ulichokidhalau.
Mavi ni mavi nitayadharau
 
Back
Top Bottom