Tafakari_nami
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 783
- 1,535
Habari ya muda huu wadau.
Mimi ni mkazi wa huku maeneo ya Mpigi Magohe, wilaya ya Ubungo.
Nina omba kuuliza hivi ni lini serikali itaweka lami hii barabara ya Mpigi magohe maana siyo kwa vumbi hili, barabara ni ya vumbi, huwa ina chongwa tuu basi kila baada ya kipindi cha mvua, barabara ni pana sana, ni kiasi cha kuwekwa lami tuu na vituo vya daladala basi
Ila mpaka sasa hakuna kinacho endelea juu ya kuwekwa lami, watu wanao kaa hili eneo ni wengi mnoooo, yaani sana tu, tunapata shida sana ya usafiri kwa sababu mida ya jioni kutoka pale Mbezi nauli huwa ina panda kutoka sh 600 mpaka 1,000 sababu magari ni machache yakuja huku Mpigi magohe mwisho sababu ya ubovu wa barabara.
Watu wa serikali ni kwamba hamlioni hili au mna potezea tuu ?!
Mimi ni mkazi wa huku maeneo ya Mpigi Magohe, wilaya ya Ubungo.
Nina omba kuuliza hivi ni lini serikali itaweka lami hii barabara ya Mpigi magohe maana siyo kwa vumbi hili, barabara ni ya vumbi, huwa ina chongwa tuu basi kila baada ya kipindi cha mvua, barabara ni pana sana, ni kiasi cha kuwekwa lami tuu na vituo vya daladala basi
Ila mpaka sasa hakuna kinacho endelea juu ya kuwekwa lami, watu wanao kaa hili eneo ni wengi mnoooo, yaani sana tu, tunapata shida sana ya usafiri kwa sababu mida ya jioni kutoka pale Mbezi nauli huwa ina panda kutoka sh 600 mpaka 1,000 sababu magari ni machache yakuja huku Mpigi magohe mwisho sababu ya ubovu wa barabara.
Watu wa serikali ni kwamba hamlioni hili au mna potezea tuu ?!