Baada ya kuomba mkopo..

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
wakuu habari za kushinda???..
ndugu zangu wakuu.. naomba mwenye kujua hili anisaidie na aseme lolote..
nilipokuwa naomba mkopo.. nilijaribu kuwa makini sana na kuweka all required details kulingana na current guidline..
cheti cha kuzaliwa na cha kifo niliviatach .. lakini baada ya kumaliza niliona nipo sawa na nilirudia kupitia tena nikajiridhisha kwa sababu aliyekuwa ananisaidia stationary naye alikuwa makini maana ana uzoefu ..
baada ya kuconfirm na kudownload ile form, nikaona sehemu ya namba ya cheti cha kifo cha mzazi kipo wazi hakijajazwa..
yaani sijaandika entry number ya cheti cha mzazi japo cheti nimeapload.. je hii inaweZa kuniafect kupata mkopo?? naombeni msaada wenu ..
nilikuwa nawaza et nije niandike barua gongewe na mihuri ili niambatanishe nije nitume kwa njia ya EMS..
au nifanye nini wakuu..
ushauri
 
Poole. Mkopo utapata japo inaweza isiwe kwa asilimia zoote.
 
Hiyo error ipo very immaterial sababu ume attach cheti cha kifo mkuu hakuna neno. Hilo ni kosa la kibinadamu ambalo haliwezi kukukwamisha.

After all mtu akishaona attachment hawezi hangaika na namba ya kwenye fomu. Na vilevile hata msoma fomu nae anaweza akawa hasomi in detail sababu waombaji ni wengi.
 
Mkuu nisaidieni, ukishai print hiyo form unatakiwa ufanyeje tena, maana wengne wanasema et inakua kama kumbukumbu zako (reference). Hapo EMS unatuma kwenda wapi mbona nilsikia et HESLB wanatumia data za online? Kiufupi sielewi
 
Hiyo error ipo very immaterial sababu ume attach cheti cha kifo mkuu hakuna neno. Hilo ni kosa la kibinadamu ambalo haliwezi kukukwamisha.

After all mtu akishaona attachment hawezi hangaika na namba ya kwenye fomu. Na vilevile hata msoma fomu nae anaweza akawa hasomi in detail sababu waombaji ni wengi.
aahaaaa!!!! asante sana mkuu maana ilikuwa unanisumbua sana akilini.....
umeniweka nilipokuwa nataka.. asante sana..
 
Mkuu nisaidieni, ukishai print hiyo form unatakiwa ufanyeje tena, maana wengne wanasema et inakua kama kumbukumbu zako (reference). Hapo EMS unatuma kwenda wapi mbona nilsikia et HESLB wanatumia data za online? Kiufupi sielewi
mkuu japo sijakamilisha process ila nasikia ukishamaliza kuprint, unaifikisha kwa viongozi husika i.e .. mwenyekiti, wakili, hakimu etc..
baada ya hapo unaiprreka posta..
vilevile nasikia ikishatiwa mihuri unaipreka stationery kwa aliyekusaidia kuiptint, then unaiscan halafu unaituma sasa kwa njia ya EMS..
 
Mkuu nisaidieni, ukishai print hiyo form unatakiwa ufanyeje tena, maana wengne wanasema et inakua kama kumbukumbu zako (reference). Hapo EMS unatuma kwenda wapi mbona nilsikia et HESLB wanatumia data za online? Kiufupi sielewi
Ukisha print soma hizo form zipo kama 4 or 5 tu , kunavipengele vya kujaza serikali ya mtaa, pamoja na wakili/mwanasheria kujaza / guardian/guarantor kusign pamoja n wewe applicant.. ukisha maliza toa copy..

Then hizo original unazituma posta kwa EMS , anwani ipo kwenye maelekezo ukisoma izo form wameandika address ni wapi uzitume..
 
mkuu nasikia ukishaituma hauwezi kuiedit tena.. yaan ndo ineenda ivooo
.. yaa mpaka kuprint nilishaprint
Kama ulisha print hautaweza ku edit tena , hadi watakopozipitia tena na kutoa muda wa lufanya masahihisho /kuedit tena - huwa wanatoa kwaajili ya watu kufanya marekebisho kama hayo.. mfano unaweza upload form na hukusign kipengele hicho, utaruhusiwa kuesit au ku upload tena documents zinazotakiwa
 
Kama ulisha print hautaweza ku edit tena , hadi watakopozipitia tena na kutoa muda wa lufanya masahihisho /kuedit tena - huwa wanatoa kwaajili ya watu kufanya marekebisho kama hayo.. mfano unaweza upload form na hukusign kipengele hicho, utaruhusiwa kuesit au ku upload tena documents zinazotakiwa
nimekupata mkuu..
lakini vipi, huo mda wa kufanya marekebisho wanautoa kabla ya kuanza kutoa mikopo au hao wenye makosa madogo madogo ndo mikopo yao inachelewa kidogo??
 
nimekupata mkuu..
lakini vipi, huo mda wa kufanya marekebisho wanautoa kabla ya kuanza kutoa mikopo au hao wenye makosa madogo madogo ndo mikopo yao inachelewa kidogo??
Wanatoa kabla ya , kile kipindi wanachoruhusu waliochelewa ku apply
 
Ukisha print soma hizo form zipo kama 4 or 5 tu , kunavipengele vya kujaza serikali ya mtaa, pamoja na wakili/mwanasheria kujaza / guardian/guarantor kusign pamoja n wewe applicant.. ukisha maliza toa copy..

Then hizo original unazituma posta kwa EMS , anwani ipo kwenye maelekezo ukisoma izo form wameandika address ni wapi uzitume..
Nashkuru sana mkuu. Naomba niwe nakuuliza uliza nikipata changamoto.
 
mkuu japo sijakamilisha process ila nasikia ukishamaliza kuprint, unaifikisha kwa viongozi husika i.e .. mwenyekiti, wakili, hakimu etc..
baada ya hapo unaiprreka posta..
vilevile nasikia ikishatiwa mihuri unaipreka stationery kwa aliyekusaidia kuiptint, then unaiscan halafu unaituma sasa kwa njia ya EMS..
Ku-scan si maana ake upate soft copy? Sasa hiyo soft copy inatumwaje kwa njia ya EMS?
 
Hiv kuomba mikopo mwisho lini?? Maaa mdgo angu Yuko jkt na mm sikuwepo home, nilikua mishemishe site vijijini huko. Nimerudi ndo naambiwa nomsaidie ku apply mkopo
 
Hiv kuomba mikopo mwisho lini?? Maaa mdgo angu Yuko jkt na mm sikuwepo home, nilikua mishemishe site vijijini huko. Nimerudi ndo naambiwa nomsaidie ku apply mkopo
 
Hiv kuomba mikopo mwisho lini?? Maaa mdgo angu Yuko jkt na mm sikuwepo home, nilikua mishemishe site vijijini huko. Nimerudi ndo naambiwa nomsaidie ku apply mkopo
Anza sasa usisubiri deadline !
Hakikisha anakupa docs zote zitakazohitajoka wakati wa kuapply, na hakikisha ume zi verify kutoka mamlaka yanayostahili
 
Back
Top Bottom