Baada ya kuolewa jamaniii!!!

Na nitakapo kupa talaka utabeba rambo yako hiyo hiyo uliyo kuja nayo. Huna chako kwangu utaondoka na nguo zako.

teh teh teh teh teh teh teh.........na lifti je hautampa kwakuwa viwalo vitakuwa vimeongezeka hasa baada ya kuwa ameenda Mr. Price
 
teh teh teh teh teh teh teh.........na lifti je hautampa kwakuwa viwalo vitakuwa vimeongezeka hasa baada ya kuwa ameenda Mr. Price

Hahahahaha kwa msaaada wa kwenye tuta namletea Bajaj
 
hahahaaa! kuna situations haziwezekani mdada kuondoka na vitu vyote home, imagine alikuwa home ambapo hali ni ya kawaida sana, akaamua kubadilisha tv, ile mbayambaya akaweka chumbani kwake, then sofas, then makabati labda, then akanunua jiko la gas kuondoa adha ya kupikia mkaa na mafuta ya taa, sasaakiondoka na vitu hivyo ndo kusema anarudisha vile vya zamani ku-replace au?

kama alikuwa ananuna vitu na anavitumia mwenyewe chumabani au aliamua kujibinafsisia sevant quarter thene anaweza kuondoka navyo tu, haisumbui.
 
Ni vizuri kuchukua vitu vidogo vidogo vya muhimu. Lakini kama unakaa katika nyumba ya wazazi mnashiriki sebule, choo na vinginevyo halafu ulinunua fenicha ambazo zinatumika nyumbani mf. kabati, viti na vitanda si vyema uondoke navyo.
 
Back
Top Bottom