prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,080
- 3,106
Umesomea Chuo gani mkuu
Una maana gan ndg sentensi yako sijaielewa kabisa!mleta uzi malaya wa head wewe.
Mkuu sijaeleweka au nimeeleweka sana hadi unataka kujua nimesoma chuo ganiUmesomea Chuo gani mkuu
Yap nataka nijue Chuo tuMkuu sijaeleweka au nimeeleweka sana hadi unataka kujua nimesoma chuo gani
Sijaeleweka au nimeeleweka?Yap nataka nijue Chuo tu
Bila kushurutishwa wala kulazimishwa naomba nikutunuku heshima kubwa sana kwa mchango wako! Ahsante mnoo!Ulichoandika kipo na kitaendelea kuwepo daima milele. Mwadamu hajaumbiwa shida, hakuna mtu anayependa shida.
Umekua msaada wa matatizo yaliyokua yakimsumbua kwa muda mrefu hivyo anaamini hakuna mtu mwingne wathamani kwake zaidi yako.
Ni Jambo lakawaida kutokea kwa watu wanaowajibika kwa jamii moja kwa moja fani yako ikiwa moja wapo. Swali lakujiuliza siku zote ni "Je! Utapendwa na wangapi?"
Huwezi zuia hisia za watu Bali unaweza kujizuia kutokana na hisia za watu