MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,656
- 31,423
Wavulana wa mikoani mnamatatizo gani, hilo ni swala la kuomba ushauri? wewe ni Psychologist kweli au mpiga ramli?
Hata kama ningempenda mkuu bado Nina mipaka inayonizuia!!Itakuwa ujampenda
Naomba mtazamo mkuu maana hii haitanisaidia mm tu bali hata wanaoenda kutafuta huduma na kujikuta wana rahisika kimapenzi, sio picha piaHivyo umeleta hapa na sisi tukukanseli au..??
Sawa ni mteja but mapenzi hayaangalii client unaweza pata mke kupitia kazi yako shida nini ujampenda weweHata kama ningempenda mkuu bado Nina mipaka inayonizuia!!
She is my client!
Labda hujanielewa vzr mkuu sijaleta hapa unipe ushauri nimeleta Ku share changamoto ambazo n very critical tunazokutana nazo !!Wavulana wa mikoani mnamatatizo gani, hilo ni swala lakuomba ushauri? wewe ni Psychologist kweli au mpiga ramli?
Yaani hapo ndiyo unavunja miiko ya kazi yako kabisa, una share siri za wagonjwa wako hapa JF? Hivi yale maadili ya kazi za Psychologist haujawahi kuyasoma?Labda hujanielewa vzr mkuu sijaleta hapa unipe ushauri nimeleta Ku share changamoto ambazo n very critical tunazokutana nazo !!
Anyway ume comment kulingana na ulivyoelewa ahsante pia
Sawa, ila waweza panga kuonana nae nje na ofisi ya kazi. (out)Aisee, ni changamoto sana hata kama ni yeye position ya kukutania hairuhusu kwa kweli mkuu!
Hapa mkuu sijatoa siri ya MTU katika mkutadha wa kuvunja maadili ya kazi , this is a counselling technical support for problem assessment to find how clonic and the level of problem is in the community, je watu wengine wanachukuliaje hili ??? And so far !Yaani hapo ndiyo unavunja miiko ya kazi yako kabisa, una share siri za wagonjwa wako hapa JF? Hivi yale maadili ya kazi za Psychologist haujawahi kuyasoma?
Umeona kitu ambacho kipo mkuu hapo !!Me nilimsaidia kumshawishi atoe mimba ya mshikaji ikiwa ni dili tulocheza na mshikaji baada ya kugoma kuitoa yeye.
Sasa ikabuma,Dada yake akajua nikaitwa.Nikalisolve et SAA hii demu ananitaka kisa umahili niloonyesha ktk kusolve issue yake.
Me sitaki nimemwambia hadi Jamaa.
Hapa mkuu sijatoa siri ya MTU katika mkutadha wa kuvunja maadili ya kazi ,Kwenye miiko ya taaluma/kazi yako hakuna confidentiality mzee? Na usiseme kuwa hujamtaja jina, coz mhusika anaweza kukisoma hiki kisa muda wowote. Na mpaka anakutongoza, hiyo hali umeruhusu mwenyewe, meaning umevunja miiko mingi tu hapa.