Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala

Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala

Habari zenu
...
Hivyo nikafwata ushauri wake wa kufakamia bamia kwa wingi yaani kila siku nilikuwa nakula bamia za 1,500 nilikuwa nakula baada ya kuzichemsha
...
Lakini wakuu kilichonitokea sitosahau kwani siku ja jumamosi wakati naamka kwenda kazini mida ya saa 11 asubuhi nilijishangaa nikiwa na hali ya ajabu sana nikimaanisha kuwa (mashine) ilikuwa imesimama kama ukuni ikiwa imekaza sijawahi kuona
...
Bamia zina nini?

Unatoa maelekezo ya kutibu 'ugonjwa' wa kibamia?
 
Yuko sawa kabisa. Magonjwa ya vidonda vya tumbo, husababisha Impotent, (kupungua kwa nguvu za kiume). Ukijitibu vidonda vya tumbo, nguvu za kiume hurudi katika hali ya kawaida. Bamia(okra), juice ya vitunguu maji, juice ya tikiti maji iliyochanganywa na asali, ndizi mbivu hasa ndizi sukari, ni baadhi ya vyakula vinavyotibu Impotent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu

Wakuu last week nilikuwa na dalili za vidonda vya tumbo so kuna mzee mmoja mtaalam wa madawa ya mitishamba akanishauri kuwa nitumie bamia kwa wingi kwani huwa zinaleta utelezi tumboni hivyo husaidia vidonda kupona kwa haraka.

Hivyo nikafwata ushauri wake wa kufakamia bamia kwa wingi yaani kila siku nilikuwa nakula bamia za 1,500 nilikuwa nakula baada ya kuzichemsha

Lakini bila mimi kujua kama natengeneza bomu la nuclear nikazifakamia kwa siku tatu mfululizo nikijua natibu vidonda vya tumbo

Lakini wakuu kilichonitokea sitosahau kwani siku ja jumamosi wakati naamka kwenda kazini mida ya saa 11 asubuhi nilijishangaa nikiwa na hali ya ajabu sana nikimaanisha kuwa (mashine) ilikuwa imesimama kama ukuni ikiwa imekaza sijawahi kuona

Nikasema labda ni hali ya kawaida kwa mwanaume kudinda asubuhi hivyo niendelee kujiandaa niwahi kazini. Lakini kilichonichanganya zaidi ni kuanzia ile saa kumi na moja asubuhi mashine iligoma kabisa kulala hadi mida ya saa mbili asubuhi mashine inaangalia juu tu

Kazini kwenyewe nilishindwa kwenda na sehemu yenyewe nnayoishi nimepanga chumba na hata Goma la kupunguza nyege ndani sina yaani nipo singo tu. Hivyo siku nzima nikaishia kujifungia ndani tu hata kuoga nilishindwa kwenda maana uswahilini nyumba za kizaramo wanawake kujianika nnje ndio zao

Bamia zina nini?
Bamia

Sodiamu inayoridhisha kwenye bamia ni kubwa sana,pia imejumuisha mucin,ambayo inatunza ngozi na kuituliza pia ngozi inayo washa ya eneo la matumbo.Bamia ina utendaji wa alkali.
 
LICHADI,

Duuuuuuh,
Kweli dunia ina mambo.

Hujui tu labda Mzee kakuona hauna mke/hata Binti anayekuja gheto kwako hivyo kafikilia kuwa jogoo wako hapandi mtungi basi akaamua kukupa dawa kwa njia ya kisela.
 
Nina shamba la bamia

Nothing straight from crooked timber of humanity can be done
 
Back
Top Bottom