Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala

Baada ya kula bamia kwa wingi uume umegoma kulala

Habari zenu

Wakuu last week nilikuwa na dalili za vidonda vya tumbo so kuna mzee mmoja mtaalam wa madawa ya mitishamba akanishauri kuwa nitumie bamia kwa wingi kwani huwa zinaleta utelezi tumboni hivyo husaidia vidonda kupona kwa haraka.

Hivyo nikafwata ushauri wake wa kufakamia bamia kwa wingi yaani kila siku nilikuwa nakula bamia za 1,500 nilikuwa nakula baada ya kuzichemsha

Lakini bila mimi kujua kama natengeneza bomu la nuclear nikazifakamia kwa siku tatu mfululizo nikijua natibu vidonda vya tumbo

Lakini wakuu kilichonitokea sitosahau kwani siku ja jumamosi wakati naamka kwenda kazini mida ya saa 11 asubuhi nilijishangaa nikiwa na hali ya ajabu sana nikimaanisha kuwa (mashine) ilikuwa imesimama kama ukuni ikiwa imekaza sijawahi kuona

Nikasema labda ni hali ya kawaida kwa mwanaume kudinda asubuhi hivyo niendelee kujiandaa niwahi kazini. Lakini kilichonichanganya zaidi ni kuanzia ile saa kumi na moja asubuhi mashine iligoma kabisa kulala hadi mida ya saa mbili asubuhi mashine inaangalia juu tu

Kazini kwenyewe nilishindwa kwenda na sehemu yenyewe nnayoishi nimepanga chumba na hata Goma la kupunguza nyege ndani sina yaani nipo singo tu. Hivyo siku nzima nikaishia kujifungia ndani tu hata kuoga nilishindwa kwenda maana uswahilini nyumba za kizaramo wanawake kujianika nnje ndio zao

Bamia zina nini?
Hah hah haaaaa
 
Hii kitu ni kweli kabisa ukila bamia ya kuchemsha tu kwa wiki moja mfululizo inaleta Shida sana. Yani machine inasimama na unapata genye sana. Ole wako uchanganye na Buternut pamoja na mbegu zake ndio utajua maana halisi ya natural viagra

Mkuu Buternut ndio nini?
 
Ukweli ni kuwa bamia zinaboost libido hasa kwa wanawake...so kwa wale wanaoexperience uke mkavu akila bamia kwa wingi na pia kwa kuziloweka kwa maji na kunywa zinaleta utelezi😊😊😊
 
Mkubwa mpaka sasa bado unapambana na kuilaza machine ama wale wamama wazaramo wanaokaa nje walikisaidia kuilaza
 
Habari za hivi punde:
Serikali imegundua chanzo kipya cha Mapato, hatimae Wakulima na Wauzaji wa Bamia kutozwa kodi ya maendeleo (VAT)Thamani halisi kwa kila fungu la bamia itatangazwa rasmi muda wowote kuanzia sasa!!
 
Back
Top Bottom