Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,893
- 54,139
Mkuu, mimi "polisi" na ningependa tuunganishe "mamioyo" yetu. Swali :Kwa nini hupendi kuolewa na polisi? Kwani unapika gongo unaogopa kukamatwa?kawaida tu
Mkuu, mimi "polisi" na ningependa tuunganishe "mamioyo" yetu. Swali :Kwa nini hupendi kuolewa na polisi? Kwani unapika gongo unaogopa kukamatwa?kawaida tu
Mkuu nijibu. Maana naanza kuliona limoyo langu linavyoweweseka kupata mwenza wa maisha.La mujer de mi vida!we nawe
Asente. Nataka nikunyakue juujuu kama mkungu wa ndizi. Sitaki mchezo.karibu
Manta khofu bibie. Bwana ushapata weye!njooooooooooo
Daahh vigezo vyote ninvyo...Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote isipokua Dereva,Mwalimu,Police awe anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati
Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
NB:Naitaji mwanaume maji ya kunde asiwe mweupe wala mweusi lizingatiwe wapendwa
poleDaahh vigezo vyote ninvyo...
Ila hapo kwenye dini tu ndo nimefel...
Dah kwel sina bahati
Sent using Jamii Forums mobile app